Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasema "Kifo ni kifo tu"Kada wa Chama cha Mapinduzi aliyefahamika kwa jina la Justine Kiatu, anadaiwa kujiua baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rajabu Lupanda kutangazwa mshindi wa nafasi ya uwenyekiti wa Kitongoji cha Ikomwa Mlimani mkoani Tabora, akimshinda Edward Petro wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mkuu wa mkoa huo, Paul Chacha ameeleza kuwa marehemu Kiatu alijiua kwa kunywa sumu ya kuulia wadudu aina ya Ruruka mara tu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Akizungumzi kifo hicho kwenye mkutano wa wakulima, Chacha ametoa wito kwa wananchi kuwa na uvumilivu wa kisiasa hususani nyakati za uchaguzi.
Mke wa mjane !!Leo umeongea pointInasikitisha sana
Hapo labda alimaliza pesa yake yoote na hata aliochangiwa na madeni juu
Duniani Luna watu na viatu. Mungu ablaze roho ya marehemu maharaj panapostahili.Kada wa Chama cha Mapinduzi aliyefahamika kwa jina la Justine Kiatu, anadaiwa kujiua baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rajabu Lupanda kutangazwa mshindi wa nafasi ya uwenyekiti wa Kitongoji cha Ikomwa Mlimani mkoani Tabora, akimshinda Edward Petro wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mkuu wa mkoa huo, Paul Chacha ameeleza kuwa marehemu Kiatu alijiua kwa kunywa sumu ya kuulia wadudu aina ya Ruruka mara tu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Akizungumzi kifo hicho kwenye mkutano wa wakulima, Chacha ametoa wito kwa wananchi kuwa na uvumilivu wa kisiasa hususani nyakati za uchaguzi.
ICC inakungojaCCM ni wajinga haswa
Laana ya wizi wa kura hiyo na watakufa wengi sana safari hii kutoka utosini hadi kwenye nyayo za miguu.Kada wa Chama cha Mapinduzi aliyefahamika kwa jina la Justine Kiatu, anadaiwa kujiua baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rajabu Lupanda kutangazwa mshindi wa nafasi ya uwenyekiti wa Kitongoji cha Ikomwa Mlimani mkoani Tabora, akimshinda Edward Petro wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mkuu wa mkoa huo, Paul Chacha ameeleza kuwa marehemu Kiatu alijiua kwa kunywa sumu ya kuulia wadudu aina ya Ruruka mara tu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Akizungumzi kifo hicho kwenye mkutano wa wakulima, Chacha ametoa wito kwa wananchi kuwa na uvumilivu wa kisiasa hususani nyakati za uchaguzi.
Kesi inahamia kwa aliyetangaza mshindiKada wa Chama cha Mapinduzi aliyefahamika kwa jina la Justine Kiatu, anadaiwa kujiua baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rajabu Lupanda kutangazwa mshindi wa nafasi ya uwenyekiti wa Kitongoji cha Ikomwa Mlimani mkoani Tabora, akimshinda Edward Petro wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
"Duniani Kuna watu na viatu " nyota ndogoKada wa Chama cha Mapinduzi aliyefahamika kwa jina la Justine Kiatu, anadaiwa kujiua baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rajabu Lupanda kutangazwa mshindi wa nafasi ya uwenyekiti wa Kitongoji cha Ikomwa Mlimani mkoani Tabora, akimshinda Edward Petro wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mkuu wa mkoa huo, Paul Chacha ameeleza kuwa marehemu Kiatu alijiua kwa kunywa sumu ya kuulia wadudu aina ya Ruruka mara tu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Akizungumzi kifo hicho kwenye mkutano wa wakulima, Chacha ametoa wito kwa wananchi kuwa na uvumilivu wa kisiasa hususani nyakati za uchaguzi.
Mgombea wa ccm mapinga pale.Ni nani huyo?!
Alikula pesa ya watu na akaambiwa wazi mgombea asiposhinda atakiona cha moto.. Akaona isiwe shida ngoja awarahisishie KaziKada wa Chama cha Mapinduzi aliyefahamika kwa jina la Justine Kiatu, anadaiwa kujiua baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Rajabu Lupanda kutangazwa mshindi wa nafasi ya uwenyekiti wa Kitongoji cha Ikomwa Mlimani mkoani Tabora, akimshinda Edward Petro wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mkuu wa mkoa huo, Paul Chacha ameeleza kuwa marehemu Kiatu alijiua kwa kunywa sumu ya kuulia wadudu aina ya Ruruka mara tu baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka huu.
Akizungumzi kifo hicho kwenye mkutano wa wakulima, Chacha ametoa wito kwa wananchi kuwa na uvumilivu wa kisiasa hususani nyakati za uchaguzi.