LGE2024 Tabora: Kada wa CCM ajiua baada ya Kada wa CHADEMA kushinda Uenyekiti wa Kitongoji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tunasema "Kifo ni kifo tu"
 
Duniani Luna watu na viatu. Mungu ablaze roho ya marehemu maharaj panapostahili.
 
Laana ya wizi wa kura hiyo na watakufa wengi sana safari hii kutoka utosini hadi kwenye nyayo za miguu.
 
Kesi inahamia kwa aliyetangaza mshindi
 
MTU akiwa mwanasiasa ROHO yake huwa inabadilika
 
"Duniani Kuna watu na viatu " nyota ndogo

Ndugu Justine kiatu ni kiatu "kweri kweri" ( in magu voice(
 
Alikula pesa ya watu na akaambiwa wazi mgombea asiposhinda atakiona cha moto.. Akaona isiwe shida ngoja awarahisishie Kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…