Tabora: Mamalishe wamzuia Mbowe kwa muda, waomba kupiga naye picha ya Ukumbusho

Tabora: Mamalishe wamzuia Mbowe kwa muda, waomba kupiga naye picha ya Ukumbusho

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndiyo Taarifa mpya kutoka Tabora , Kwamba Mwamba Mbowe akiwa katika harakati za Operesheni Haki huko Kanda ya Magharibi, amevamiwa na Kundi la Mama Lishe huku wakimtaka kupiga nao picha ya ukumbusho ndiyo aendelee na Operesheni zake, ambapo Mwamba alisalimu amri na kupiga picha na wamama hao huku kibwagizo cha #Mwamba Tuvushe kikitamba.

@chadema_in_blood_shared_a_photo_on_Instagram:_“Mh._Freeman_Mbowe_Katika_picha_ya_pajoma_na_Ma...jpg
 
Hii ndiyo Taarifa mpya kutoka Tabora , Kwamba Mwamba Mbowe akiwa katika harakati za Operesheni Haki huko Kanda ya Magharibi , amevamiwa na Kundi la Mama Lishe huku wakimtaka kupiga nao picha ya ukumbusho ndiyo aendelee na Operesheni zake , ambapo Mwamba alisalimu amri na kupiga picha na wamama hao , huku kibwagizo cha #Mwamba Tuvushe kikitamba .

View attachment 1810573
Nyomi ya kufa ntu
 
Teh teh! Sura yake ya kikatoon wanataka ukumbusho, Mbowe nenda kapumzike huna hoja
 
Hakika nikisoma harakati za Nyerere ktk vitabu , simulizi za wazee na intaneti, mwanasiasa mahiri anayeshabihiana na Nyerere kutafuta uhuru wa kweli wa watu ni Mh. Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA.
 
Maisha yaenda kasi sana ya Bombadia aisee ili hali Sabaya ananyea debe Kisongo Eti Mbowe yupo anazunguka nchi nzima kunadi CHADEMA.
 
Back
Top Bottom