Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Hao tu ndio wamemzuia au amechagua wa kupiga nao
Kama ulivyo wewe yaani anawalazimisha wake za watu apige nao picha anawataka nini useless manKuna haja ya JF kuwa na kitengo cha kuhudumia wagonjwa wa akili
Sawasawa Mbowe juuuuuHii ndiyo Taarifa mpya kutoka Tabora , Kwamba Mwamba Mbowe akiwa katika harakati za Operesheni Haki huko Kanda ya Magharibi , amevamiwa na Kundi la Mama Lishe huku wakimtaka kupiga nao picha ya ukumbusho ndiyo aendelee na Operesheni zake , ambapo Mwamba alisalimu amri na kupiga picha na wamama hao , huku kibwagizo cha #Mwamba Tuvushe kikitamba .
View attachment 1810573
#Mwamba Tuvushesawasawa Mbowe juuuuu
Hii ndiyo Taarifa mpya kutoka Tabora , Kwamba Mwamba Mbowe akiwa katika harakati za Operesheni Haki huko Kanda ya Magharibi , amevamiwa na Kundi la Mama Lishe huku wakimtaka kupiga nao picha ya ukumbusho ndiyo aendelee na Operesheni zake , ambapo Mwamba alisalimu amri na kupiga picha na wamama hao , huku kibwagizo cha #Mwamba Tuvushe kikitamba .
View attachment 1810573
Mbowe ni ICON wa siasa za mageuzi Tanzania nzima, hakuna asietambua hilo.
Nyomi ya kufa ntu
😂 😂 😂 😂Haya siyo maigizo kama ya ccm kweli?
Ni lile kundi la ..... Gangkama vipi mfate yule fala aliyekufa kilofalofa kule chattle. Una kisirani kama cha kulogwa
Hehehehe JF bana eti Nyomi la kufa Mtu. Anyway siasa ni amani upendo na ndio Maisha
Sawa lakini hajalifikia lile shetani!!MUNGU FUNDI
Mbona watanyoka hawa.Ni lile kundi la ..... Gang
Yaani huyo jamaa amejua life span yake imefika yaani Malaika wa zamu wameshaanza kimpigia simu tujiandaeni taratibu tu tutaimba zile nyimbo za taraatibu ndio maana anasema 2023 huko mbali hafikiSabaya ananyea ndoo rumande. Ubaya haulipi.
Hahaha....kama vipi mfate yule fala aliyekufa kilofalofa kule chattle. Una kisirani kama cha kulogwa
Ungejikita kwenda kumwokoa Sabaya kipenzi chako. Kwa Mbowe unapoteza muda.Yaani huyo jamaa amejua life span yake imefika yaani Malaika wa zamu wameshaanza kimpigia simu tujiandaeni taratibu tu tutaimba zile nyimbo za taraatibu ndio maana anasema 2023 huko mbali hafiki
Kwi Kwi KwiUngejikita kwenda kumwokoa Sabaya kipenzi chako. Kwa Mbowe unapoteza muda.
Ukurasa wa Sabaya umefungwa Rasmi, sasa hivi tumeanza na majina mapya matatu , halafu yatafuatia matanoSabaya ananyea ndoo rumande. Ubaya haulipi.
Kufa ni wajibu lakini!! Sikutegemea kumuona kiumbe aliyejifanya na kuwafanya wapambe wake wamuamini kuwa na yeye ni mungu!! Ana ondoka kizembe vile!!!yeye alikuwa special sana!!, unakumbuka kauli ya Rc, mwanri? Zile zilikuwa dhihaka!!Mbna TB JOSHUA ameaga pia, alikua Mungu mtu? you are not an exception hata wewe mda wowote unaenda, haupo special sana
Yaani huyo jamaa amejua life span yake imefika yaani Malaika wa zamu wameshaanza kimpigia simu tujiandaeni taratibu tu tutaimba zile nyimbo za taraatibu ndio maana anasema 2023 huko mbali hafikiKufa ni wajibu lakini!! Sikutegemea kumuona kiumbe aliyejifanya na kuwafanya wapambe wake wamuamini kuwa na yeye ni mungu!! Ana ondoka kizembe vile!!!yeye alikuwa special sana!!, unakumbuka kauli ya Rc, mwanri? Zile zilikuwa dhihaka!!
Yaani huyo jamaa amejua life span yake imefika yaani Malaika wa zamu wameshaanza kimpigia simu tujiandaeni taratibu tu tutaimba zile nyimbo za taraatibu ndio maana anasema 2023 huko mbali hafikiUkurasa wa Sabaya umefungwa Rasmi, sasa hivi tumeanza na majina mapya matatu , halafu yatafuatia matano