Tabora: Mathias Maganga, adaiwa kufia mahabusu ya polisi

Punguza jaziba, ukiwagusa polisi utaguswa zaidi na mtajikuta mmeumizwa
Mimi nashauri tu maana dawa ya ukatili ni ukatili zaidi kwa hiyo polisi wakienda kinyume wasiguswe?kwa taarifa yako hizo zama zimeisha nasisitiza wauze N'gombe wadeal na Ocs liwe fundisho ila usitishe watu kinachotakiwa ni Hela tu mbona huwezi kusikia Ndugu wa Mwigulu au Makamba au mnene yoyote kafia lock up ya polisi?na je ni utaratibu kisheria. Kumuweka mtu mahabusu ya polisi kwa zaidi ya masaa48 acha kuwatishia watu mambo ya kijinga blaza
 
Mkuu wa kituo siyo tatizo. Narudia, mkuu wa kituo siyo tatizo. Tatizo ni sisi wananchi kwa umoja wetu kukubali kuiacha CCM iendelee kututawala. Hili nalo litapita, na siku mbili tatu, mwingine atauawa tena.
Na pia kuweka chama kingine pia sio suluhisho kwani anaetuongoza ni wale wale
 
Na pia kuweka chama kingine pia sio suluhisho kwani anaetuongoza ni wale wale
Watanzania wengi hatutaki kutafakari mambo hivyo tunajikuta tukikata tamaa kila tuna-face challenge za maisha. Sikiliza kwa makini kabisa: Serikali yoyote inapokuwa na hofu ya kuondolewa madarakani, inabidi ifanye mambo yake kwa kufuata matakwa ya wapiga kura. Kwa upande mwingine, isipoona uwezekano wa kuondolewa kwenye uongozi, basi hubweteka na kujisahau, na haitajali wapioga kura wake. Hili ndilo tatizo linalotukabili watanzania. Sisi wananchi inabidi tuondoe hii hali. Tujenga hali ya ushindani. Tusione kama chama fulani ndiyo suluhisho. Suluhisho liwe ni yule anayewajibika kwa wapiga kura wake na siyo vinginevyo.
 
Huyo RPC naye achukuliwe hatua eti amefia wakat anapatiwa huduma kituo Cha afya wakat wamemuua ndio wakampeleka huko hospital.

Hawa polisi ni majanga sana aisee huko kwenye vyuo sijui Huwa wanasomea kitu Gani.
 
Wamtafute huyo mkuu wa kituo wamuue kwa nmna yoyote Ile maana hyo kauli ya kuwa alifariiki akifanyiwa matibabu sio ya kweli la msingi wauze N'gombe wadeal nae wamezidi Hawa maku
Hiyo sio kauli ya mkuu wa kituo Bali ni ya RPC
 
Mtu hawezi kufa mahabusu afu akae hata saa zima, wanamtoa mapema mno.
Lengo la familia ni fidia
Wangemtoa vipi na raia wako nje wamejazana na ndio maana wakakaa na kufikiri wakaona watumie mbinu za kihuni kuwatimulia vumbi raia ili wampeleke maiti hospital kabla mambo hayajasambaa.
 
Sema na nyie wanyawezi wasukuma watu wa ajabu sana mnaambiwa ndugu yenu kafariki msiondoke, mnaenda kukaa mbali ya kituo mpaka gari inakuja inaubeba mwili mnatizama tu pumbafu kabisa

Pale ilikuwa ni vita mura tena vita kweriri tata
 
Wangemtoa vipi na raia wako nje wamejazana na ndio maana wakakaa na kufikiri wakaona watumie mbinu za kihuni kuwatimulia vumbi raia ili wampeleke maiti hospital kabla mambo hayajasambaa.
Tatizo lako umekaza fuvu, kwamba raia wanaweza zuia polisi wasimtoe mtu polisi?
 
Yan mtu ameua , adhabu mnayompa ni kumuhamisha KITUO? Lengo ni akaue mwingne huko au?
 
Elezea kisayansi ni kwa namna gani kuwatoa ccm madarakani kutafanya polisi wasiendelee kunyanyasa raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…