LGE2024 Tabora: Mchijita ashiriki zoezi la kupiga Kura Likotwa

LGE2024 Tabora: Mchijita ashiriki zoezi la kupiga Kura Likotwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu mwenyekiti wa Act Wazalendo Tanzania Bara Isihaka Mchinjia leo Novemba 27, 2024 ameshiriki katika zoezi la upigaji kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, kwenye kituo cha Shule ya Msingi Likotwa, Manispaa ya lindi, Novemba 27, 2024.
IMG_1052.jpeg

Akizungumza baada ya kupiga kura amesema kwa Mkoa wa Lindi hakuna changamoto kubwa kwenye zoezi hilo huku akiwataka wananchi kuendelea kupiga kura katika uchaguzi huo unaofanyika nchi nzima kwani wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi.
 
Back
Top Bottom