Ila wanawake siku hizi !!!Ila wanaume siku hiziππππ
Watu wanatetea uovu, ikitokea watu wamekufa kwa uzembe lawama kwa serikaliLeo nmewagundua maboya weng kwenye huu uzi
Sheria za utumishi na za maadili zifuatwe ili kumfunza adabu huyu muhuni anayejiita muuguzi.Hatufanyi siasa hapa
Ingawa ni makosa ila sio namna kama nyie layman mnavoona huyo atajieleza tu kwa barua
Atafukuzwa kwenye magazeti kuua soo
Alafu atahamishwa kituo
Acha uzembe kazini wewe. Fanya kazi kwa weledi.Huyo jamaa alierekod na anaelalamika kuwa hawezi tumia hizo expired items anavomwambia huyo nurse yeye ndo incharge? Na kwnn amrekod?
Huyo ana personal interest tu na huyo sister kwsbb kuna taratbu za kuomba items zingine vitu huwa havitolew tolew tu kuna utaratbu wake.
Wapuuzi sana. Halafu ni wengi ajabu.Naona watu wazembe makazini ndio wanaogopa madudu yao kuwa exposed like this. Then wanajificha kwenye mwamvuli wa ethics.
Wapi Nmemshambulia mbona una hasira sana mkuumimi nimecopy hiyo quote yako inayoeleza matumizi ya prophlaxis, mimi nashukuru waziri ameshatueleza kuwa hajui kwa nini vitendanishi vilivyokwisha muda wa matumizi vitumike ili hali serikali ina akiba ya kutosha miezi sita. Endeleeni kumshambulia aliyerekodi video mimi naungana na wachache wanaomsifu kwa sababu ametendea haki taaluma yake, na si kufanya kazi kumfurahisha mtu,
Tatizo hili..Aliyerekodi kashasifiwa na waziri Ummy.
Sasa kama kuna huo utaratibu kwanini huyo nurse alazimishe vitumike asishauri njia sahihi. Na kwanini apanic na kumuongelea mwenzake shit anapoambiwa zisitumike zimeexpire? Unajua hizo changamoto huyo jamaa anakutana nazo mara ngapi hadi kaamua kumrekodi? Anyway nakuombea siku ukipata majanga upate huduma ya nurse kama huyo ili ujue kumrekodi ilikua sahihi kupunguza huo uozo unaoteteaHuyo jamaa alierekod na anaelalamika kuwa hawezi tumia hizo expired items anavomwambia huyo nurse yeye ndo incharge? Na kwnn amrekod?
Huyo ana personal interest tu na huyo sister kwsbb kuna taratbu za kuomba items zingine vitu huwa havitolew tolew tu kuna utaratbu wake.
Hamna jamaa kanoko ako, saut yake tu ina sound kinoko nokoAcha uzembe kazini wewe. Fanya kazi kwa weledi.
Waendelee kuwarekodi tu ili mtumbuliwe mkalime nyanya.
Tuna wataalamu wengi sana mtaani hawana ajira.
Wacha kuandika easy mi nshazeeka sa hivi kusoma siwezi hatamimi nimecopy hiyo quote yako inayoeleza matumizi ya prophlaxis, mimi nashukuru waziri ameshatueleza kuwa hajui kwa nini vitendanishi vilivyokwisha muda wa matumizi vitumike ili hali serikali ina akiba ya kutosha miezi sita. Endeleeni kumshambulia aliyerekodi video mimi naungana na wachache wanaomsifu kwa sababu ametendea haki taaluma yake, na si kufanya kazi kumfurahisha mtu,
JF kuna wajuaji hatari.Waelekeze kuna watu hawajui chochote kuhusu afya huko makazini af wanakuja kuongea vitu wasivojua
Mm sina haja ya kumrekod nurse km huyo namuadabisha mwenyewe.Sasa kama kuna huo utaratibu kwanini huyo nurse alazimishe vitumike asishauri njia sahihi. Na kwanini apanic na kumuongelea mwenzake shit anapoambiwa zisitumike zimeexpire? Unajua hizo changamoto huyo jamaa anakutana nazo mara ngapi hadi kaamua kumrekodi? Anyway nakuombea siku ukipata majanga upate huduma ya nurse kama huyo ili ujue kumrekodi ilikua sahihi kupunguza huo uozo unaotetea
Bora kuwa mchawi wa kufichua maovu.Huyu mwanaume ni mchawi sana na ndio sababu ya kufanya kazi na wachawi Yani yeye ameshindwa mwelekeza mwenzako Hadi amrekodi Hilo ni swali la kueleweshana so mwenzake anapoteza kazi Kwa sababu yake dah
Kuna muda flan wa extension manufacturer hua ana toaNa kwanini iwe kwa wajawazito ambao ndio wapo hatarini zaidi? Wewe unaweza tibiwa kwa kit zilizo expire?
Watu kama hawa ndio wanaosababisha taasisi hazisongi mbele imagine huyu ni boss sehem unafikiri kutakuwa na maendeleo yeyote.Eti wote na wawajibishwe yaani aliyetoa taarifa ya kosa na aliyesababisha kosa aisee.Afrika kwa fikra za hivi tutaendelea kuwa maskini kwakweliWewe ni lizembe kazini tu hapa unajificha ficha kwenyr kivuli cha maadili.
Tena ningefurahi kama huyo dada angepelekwa kwenye bodi ya wauguzi achukuliwe hatua za kinidhamu.
Ubabaishaji ni mwiko. Kafanye ubabaishaji kwa mmeo huko na sio kwenye afya za watu.
Machadema hamna akili nyie. Ndio maana jiwe alikuwa anawatandika viboko.Huyo jamaa ana tabia za kike. Unarekodi nini sasa,kwani hawana incharge au menejiment ya kujadili jambo. Msenge huyo