Tabora: Mtumishi wa Afya akijibu mbovu kwa watu kumstukia juu ya vitu vilivyo-expire

Hivyo ni vipimo siyo dawa.
Ama vipimo na dawa vipo kundi moja la dawa, mi si mtaalamu nisamee.
 
Kideo kilivyozagaa na Ummi kureact, alijitokeza boss wa hospitali hiyo na kueleza kuwa kutumia hivyo vipimo vya malaria vilivyokwisha muda wake lilikuwa ni agizo la uongozi ili "kuviokoa" vifaa hivyo kabla muda wake kitaalamu kufikia tamati kabisa.

Kitaalamu muda unaowekwa na mtengenezaji, huwa siyo kwamba vifaa ama dawa haziwezi kufanya kazi, kuna muda wa mbele kama miezi3 hadi 6 kufikia tamati kama sikosei.

Hao wote nesi na mmaabara walilijua agizo hilo kutokana na vikao vyao vya briefing vya utendaji kazi vya kila siku.

Kurekodiana huko kulikuwa na maana moja tu na ndicho kimepatikana walichotarajia kukipata, ingawa matokeo yamekuwa ndivyo sivyo kwa aliyerekodi.

Wote hawakutarajia dhoruba hili, ingawa katika mkanda huo, nesi wakati akitukana alikuwa akiangalia kwa makini eneo kilipokuwepo kifaa, ama aliona kabisa hiyo recoder ya simu lakini akaipuuzia.

Huyo mwanaume aliyerekodi alifanya kwa kumkomoa nesi, lakini naye kaingizwa kwenye msukosuko huo.
 
Nye nye nye maneno mengi kumbe pumba mnaleta siasa kwenye Afya ?
Nilikwambiaje professional body itasmama na nan?
 
Aliyemrekodi alishapewa kesi.. ameambiwa "alimtukana kwanza kabla ya kuanza kumrekodi" kazi anayo
 
Nye nye nye maneno mengi kumbe pumba mnaleta siasa kwenye Afya ?
Nilikwambiaje professional body itasmama na nan?
Nyie ndio mnaleta siasa kwenye afya za watu clip ipo wazi .
Hapo kilichofanyika ni kuficha udhaifu wa serikali kwamba watu wanapewa huduma Kwa kutumia expired materials.
Serikali imejikosha ila ukweli unafahamika ndio maana viongozi wengi hawatibiwi kwenye hospitali hizi
 
Bado nashindwa kuelewa, kwa hiyo hata Kama zimeexpire bado huku bongo zinaweza kutumika? Ikiwa ni hivyo kwa nn waliotengeneza waliweka expire?
Ni upumbavu wanaleta siasa kwenye afya za wananchi.
Kimsingi serikali imeshindwa kutoa huduma za afya Kwa wananchi na matokeo yake ndio kama hivi wanatumia nguvu nyingi na za aibu kuficha madhaifu
 
Ukisoma watu wanavyotoa mawazo yao hapa, utagundua kuwa Tanzania tuko na tunaelekea kubaya. Watu wanatetea kutumia vitu vilivyoisha muda wake waziwazi. Watu wanamkashifu aliyefichua maovu?
Na serikalu inavyojua matanzania mengi ni mapumbavu na mazuzu wote wanaotetea matumizi ya expired kit. Serikalu imeenda nao sambamba eti nesi yupo sahihi.
Kimsingi serikalu kupitia hiyo body imepotosha ukweli Kwa maslahi ya kisiasa
 
Bado nashindwa kuelewa, kwa hiyo hata Kama zimeexpire bado huku bongo zinaweza kutumika? Ikiwa ni hivyo kwa nn waliotengeneza waliweka expire?
Si ndio hapo na Serikali ya chama cha ma mbuzi inawatumia wajinga wajinga hao kuhalalisha maudhaifu yao
 
Na wanaohudumiwa wanakufa hawaponi
 
Naona mteknolojia wamemchinjia baharin eti hakuna vifaa vilivyokwisha muda wake!! Bahati mbaya mteknolojia Hana sehemu Tena YA kutoa lamoyoni Zaidi YA kuwa mpole tu,

Usicheze Na serikali kabisa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…