Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Hivyo ni vipimo siyo dawa.Wajawazito ukawape dawa zilizo expire, vidada vikipataga network na ramani ya kupata pesa vinaona wadada wenzao kama mbwa vilee hata hafikirii kama nae atakuja kupata ujauzito au mgumba huyoo, anaboa vilee anaongea kwa kujiamini/ sheria ya kunyongwa iwekwe kwa watu kama hao
Ama vipimo na dawa vipo kundi moja la dawa, mi si mtaalamu nisamee.