Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wao. Km wana wtt au ndugu !?Kifo ni kifo tuuh
Aibu io vipi kwa marehemu!?
Aibu kwa familia,Kifo ni kifo tuuh
Aibu io vipi kwa marehemu!?
Kufia kiunoni? Wakiwa utupu? Aaah aibu bwana!Kifo cha kishujaa
Mbona fresh tu.Kifo cha aibu😔💔
Wamepigana dudu mpaka wamekata upepo jamaa alimix nini hicho wamkague vizuri isije ikawa mkongo kamix na supershafty mixer maji ya betriChumba hakikuwa na dirisha!!
Mbona wengine wanakesha kwenye vyumba vyenye tight glass windows wanatoka wazima, labda sababu iwe ni pombe njaa na uchovu
Wahuni sio watu wazuri Mwanamke sio wa kumuamini hata aweje yaliyonikuta kwa yule mlokole wa kinyakyusa muimba kwaya sirudii tenaAibu kubwa kwa mume wa marehemu sijui sura yake atawatazama vipi watakaokuja kumpa pole msibani?!!
Halafu ukute alikuwa anajisifu anampelekea moto mke wake huku JF 😜
Umepiga dudu mpaka pumbu zimepasukia ndani kwa ndani? Aibu sio aibu au ndio ushujaa huo?Mbona fresh tu.
Aibu kwa nani?
Afande ameupiga mwingi,kazi yake iendelezwe.Mwanajeshi Mstaafu Petro Masali amekutwa amefariki dunia yeye na mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Marrysiana Edward, wakiwa katika hali ya faragha kwenye moja ya chumba cha nyumba ya aliyekuwa mwanajeshi huyo, katika Kata ya Ipuli Manisipaa ya Tabora.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku moja baada ya mwanamke huyo kuondoka nyumbani kwa mume wake tangu Novemba 4, mwaka huu bila kuaga na kushindwa kurejea.
View attachment 3170669
Umeanza kutuchafua wanyaki 😹Wahuni sio watu wazuri Mwanamke sio wa kumuamini hata aweje yaliyonikuta kwa yule mlokole wa kinyakyusa muimba kwaya sirudii tena