Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu kubwa kwa mume wa marehemu sijui sura yake atawatazama vipi watakaokuja kumpa pole msibani?!!
Halafu ukute alikuwa anajisifu anampelekea moto mke wake huku JF 😜
NakaziaKataa ndoa na mdangaji mmoja
Kama walitubu dhambi zao kabla hawajaondoka safari yao ya mileleMbinguni moja kwa moja
Ndo kafa sasa kwa jeuri na dharau Kwa mumewe matokeo yake kayaonaAibu kwa wote, kwanini mume kashindwa kusimamia majukumu yake??
Km mke jeuri si angemwacha akafie mbele huko..!!
Matokeo yake hana hasara nayo, waliobaki ndio wataumia..!!Ndo kafa sasa kwa jeuri na dharau Kwa mumewe matokeo yake kayaona
🤣🤣🤣Akazikwe kwao tu
Mwanajeshi Mstaafu Petro Masali amekutwa amefariki dunia yeye na mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Marrysiana Edward, wakiwa katika hali ya faragha kwenye moja ya chumba cha nyumba ya aliyekuwa mwanajeshi huyo, katika Kata ya Ipuli Manisipaa ya Tabora.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku moja baada ya mwanamke huyo kuondoka nyumbani kwa mume wake tangu Novemba 4, mwaka huu bila kuaga na kushindwa kurejea.
View attachment 3170669
Kwani Engonga kafanyaje,au ndio kavuta kamba?SAFI SANA
Kazi Iendelee
Ya Engonga au?Kafia vitani
Ova