Tabora: Mwanajeshi mstaafu na Mke wa Mtu wakutwa wamefariki Chumbani

Hiiii imeeendaaaaaaa kabisaaaaa,hiiiiii imeeendaaaaa...

Ni huzuni
 
Chumba hakikuwa na dirisha!!

Mbona wengine wanakesha kwenye vyumba vyenye tight glass windows wanatoka wazima, labda sababu iwe ni pombe njaa na uchovu
Wamepigana dudu mpaka wamekata upepo jamaa alimix nini hicho wamkague vizuri isije ikawa mkongo kamix na supershafty mixer maji ya betri
 
Aibu kubwa kwa mume wa marehemu sijui sura yake atawatazama vipi watakaokuja kumpa pole msibani?!!
Halafu ukute alikuwa anajisifu anampelekea moto mke wake huku JF ๐Ÿ˜œ
Wahuni sio watu wazuri Mwanamke sio wa kumuamini hata aweje yaliyonikuta kwa yule mlokole wa kinyakyusa muimba kwaya sirudii tena
 
Afande ameupiga mwingi,kazi yake iendelezwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ