Tabora: Mwanajeshi mstaafu na Mke wa Mtu wakutwa wamefariki Chumbani

Inasemekana mjeda alikufa akiwa ameroweka mshedede wake. Kiuhalisia wanyamwezi ni wazuri sana ktk mambo ya ushirikina.
 
Ndo kafa sasa kwa jeuri na dharau Kwa mumewe matokeo yake kayaona
Matokeo yake hana hasara nayo, waliobaki ndio wataumia..!!

Ingemuumiza km angefumaniwa kisha mwanaume aliyekuwa anazini naye amekufa yeye akabaki mzima.!

Kwa kuwa wote binadamu wote tunakufa haimuathiri popote
 
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/reel/1143048817442369
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…