Kwa mwanamke yes,umewaza mumewe anakuwa disturbed kiasi gani akiwa na mwenza mwenye ndevu kama yeye?Ndevu zinaondoa urembo? Acha kumkosoa marehemu
Kanyoe mavuzi yako kwanza shwain mkubwaKwa mwanamke yes,umewaza mumewe anakuwa disturbed kiasi gani akiwa na mwenza mwenye ndevu kama yeye?
Kwanini aziache hadi zionekane wakati anajua siyo asili yake na nyembe zimejaa madukani?
Zuchu wewe....Heh 😂
Hii ni according to Saint Anno II maana urembo ni machoni pa mtu. Unaweza tuwekea mrembo wako hapa tukaangua vicheko.Hakuna kiumbe chenye ndevu kikaitwa mrembo duniani,huyo hana tofauti na mwanaume na mwanaume asili yake inamkataza kuitwa mrembo.
Kama mwanamke ana ndevu ni sharti muda wote azinyoe zisionekane unless atakuwa mchafu
Ume-panic sana mkuu!Kanyoe mavuzi yako kwanza shwain mkubwa
Warembo wapo wengi hata Samia tukichikulia mfano mwepesi nae ni mremboHii ni according to Saint Anno II maana urembo ni machoni pa mtu. Unaweza tuwekea mrembo wako hapa tukaangua vicheko.
Mhmwanamke malay lazima auwawe tu.
Ndio nyie mnaobaka vitoto!Urembo umekuwa siyo kitu serious tena nchi hii,mtu ana mpaka ndevu bado aitwe mrembo?
Au alikuwa msagaji kama yule wa migodini?
Kwani wanaouana ni wanandoa tu? Kesi nyingi zipo za mauaji wengine si wanandoa.Kwishaaaa ...wazeee wa kataa ndoa point tatu muhmu tushachukua ...
Uko ndan ya ndoa mtauwana mpk tubaki mabachela mtaan wenyewe maana wauwaji watakuwa magerezan na wauliwaji watakuwa kaburini ,,shenzii kbs
Good point.Binadamu amepoka Mamlaka ya Mungu kutoa uhai.
Mtu akikushinda mwache aende atapata wa kuwezana naye kuua siyo suluhisho.
Umenipa cheo kikubwa sana nisichoomba kinifikie hata ndotoni.Ndio nyie mnaobaka vitoto!
Jana na leo...🤪
Haina shidaZuchu wewe....
Wee mchumba tuuu
Mbobevu.apumzike kwa amani
ila hakuna mrembo hapo