Tabora: Mwanamke auawa, chanzo wivu wa mapenzi

Tabora: Mwanamke auawa, chanzo wivu wa mapenzi

Umenipa cheo kikubwa sana nisichoomba kinifikie hata ndotoni.

Ukweli ni kwamba wanawake na ndevu ni vitu viwili tofauti kabisa that's why ukawekwa utaratibu wa kuzinyoa,sioni ni nini kinamfanya mwanamke aache ndevu hadi zijitengeneze alama ya O kama siyo uchafu!
Unamuonea wivu marehemu. Basi wewe kuwa mrembo yaishe.
 
Kwishaaaa ...wazeee wa kataa ndoa point tatu muhmu tushachukua ...

Uko ndan ya ndoa mtauwana mpk tubaki mabachela mtaan wenyewe maana wauwaji watakuwa magerezan na wauliwaji watakuwa kaburini ,,shenzii kbs
'Kataa ndoa', kwani hiyo ilikuwa ni ndoa?
 
Warembo wapo wengi hata Samia tukichikulia mfano mwepesi nae ni mrembo
Ofcourse. Ndo maana nikasema uhalisia wa urembo unategemeana na concept inayotafsiriwa na ubongo wa mhusika. Ukitamka neno mrembo, kuna mtu anamuwaza binti yake, mpenzi wake, rafiki yake na kuna mwingine atawaza tako na wote wapo sahihi kutegemeana na ni nini ubongo unatafsiri unaposikia neno mrembo.
 
Back
Top Bottom