dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Nyangema wa shariff shambaMbobevu.
Usimlie Nyeto Mana hujambo kichaa angu.Nyangema wa shariff shamba
Moureen pekee wakuliwa nyeto kwa picha, mfuko lazima uhusike kukwepa UTI ya mbaliUsimlie Nyeto Mana hujambo kichaa angu.
Unamuonea wivu marehemu. Basi wewe kuwa mrembo yaishe.Umenipa cheo kikubwa sana nisichoomba kinifikie hata ndotoni.
Ukweli ni kwamba wanawake na ndevu ni vitu viwili tofauti kabisa that's why ukawekwa utaratibu wa kuzinyoa,sioni ni nini kinamfanya mwanamke aache ndevu hadi zijitengeneze alama ya O kama siyo uchafu!
Kwanini nakumiss hivi...Jana na leo...๐คช
SafiHaina shida
Hakuna kiumbe chenye ndevu kikaitwa mrembo duniani,huyo hana tofauti na mwanaume na mwanaume asili yake inamkataza kuitwa mrembo.
Kama mwanamke ana ndevu ni sharti muda wote azinyoe zisionekane unless atakuwa mchafu
Jamaa anamuonea wivu marehemuHuu uzi marehem akiuona atakufa tena dah sio poa
'Kataa ndoa', kwani hiyo ilikuwa ni ndoa?Kwishaaaa ...wazeee wa kataa ndoa point tatu muhmu tushachukua ...
Uko ndan ya ndoa mtauwana mpk tubaki mabachela mtaan wenyewe maana wauwaji watakuwa magerezan na wauliwaji watakuwa kaburini ,,shenzii kbs
Ofcourse. Ndo maana nikasema uhalisia wa urembo unategemeana na concept inayotafsiriwa na ubongo wa mhusika. Ukitamka neno mrembo, kuna mtu anamuwaza binti yake, mpenzi wake, rafiki yake na kuna mwingine atawaza tako na wote wapo sahihi kutegemeana na ni nini ubongo unatafsiri unaposikia neno mrembo.Warembo wapo wengi hata Samia tukichikulia mfano mwepesi nae ni mrembo
Huyu fala kwenye hii movie alileta bwebwe
Kwa sababu siji๐Kwanini nakumiss hivi...
Naomba usiniseme mkuu ahahaha huyo ndo mimi kabisa anHuyu fala kwenye hii movie alileta bwebwe
Fanya uje kuna CHAPATI hapa ujueKwa sababu siji๐
Acha masihara ni ww kwel๐๐๐Naomba usiniseme mkuu ahahaha huyo ndo mimi kabisa an
Mi nipo humu mda sana mkuu before sijaingia kwa sanaaAcha masihara ni ww kwel๐๐๐