denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hakimu hapo kwenye hukumu aliposema muuaji alikuwa na hasira akampiga mke wake mateke, ngumi, na vipande vya tofali napata shaka.
Hii kitu wanaita "heat of passion" pale unapofanya jambo ghafla, mfano, unamtukana mtu tusi la nguoni then anakufyatua risasi ya kichwa, lakini pale ambapo mtu anapiga mateke, ngumi, na vipande vya tofali huko kwangu ni kukusudia, kwani alikuwa na muda wa kutosha kupoza hasira zake.
Na kutokana na historia ya mshtakiwa kuwa ameshawahi kumuua mke wake wa kwanza, hakimu alitakiwa kutumia hicho kielelezo kama tabia mbaya ya mshtakiwa, anaonesha hakujifunza kwa kosa lake la mwanzo hivyo this time around alistahili adhabu kubwa zaidi.
Wakate rufaa.
Hii kitu wanaita "heat of passion" pale unapofanya jambo ghafla, mfano, unamtukana mtu tusi la nguoni then anakufyatua risasi ya kichwa, lakini pale ambapo mtu anapiga mateke, ngumi, na vipande vya tofali huko kwangu ni kukusudia, kwani alikuwa na muda wa kutosha kupoza hasira zake.
Na kutokana na historia ya mshtakiwa kuwa ameshawahi kumuua mke wake wa kwanza, hakimu alitakiwa kutumia hicho kielelezo kama tabia mbaya ya mshtakiwa, anaonesha hakujifunza kwa kosa lake la mwanzo hivyo this time around alistahili adhabu kubwa zaidi.
Wakate rufaa.