Tabora: Nyoka Koboko amekunywa uji wa Moto, amkimbiza Mganga wa Kienyeji

Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Aisee kwa taarifa yako huyo nyoka aina ya Koboko au "Black Mamba" ana uwezo mkubwa sana wa kushambulia anaweza kugonga kundi la ng'ombe zaidi ya mia kwa kasi ya ajabu na ng'ombe wakafa kwa sumu kali aliyonayo nyoka huyo. Koboko ni habari nyingine Bro.
 
Kuna watu hawajui kitu na niwabishi hatari[emoji23][emoji23][emoji23] eti hakuna nyoka anagonga zaidi ya mara 1! Koboko anagonga zaidi ya mara 50 na kuua juu.
 
Kuna watu hawajui kitu na niwabishi hatari[emoji23][emoji23][emoji23] eti hakuna nyoka anagonga zaidi ya mara 1! Koboko anagonga zaidi ya mara 50 na kuua juu.
Huyo nyoka ni hatari kabisa, nakumbuka nilipokuwa kozi Tabora tulikuwa tukimsikia usiku au asubuhi sana akiwika kama jogoo.
 
Koboko aka black mamba this is deadly snake hafai ata kulumangia
 
Kawaida nyoka wa kawaida hagongi zaidi ya Mara moja kwasababu akigongo meno hubakia je huyu kapata wapi uwezo wa kugonga mara nne?
Mkuu mambo ya meno kubaki alipong'ata iyo ipo kwa nyoka watoto tu, uyu koboko anagonga adi mara 20 na milligrams ya venom ni ileile. Anatenki kubwa sana la sumu kwenye kichwa chake. Meno hayabaki
 
A real devil[emoji48]
 
Huyo nyoka 1998 makongo tunafanya usafi wa kufyeka karibu na hostel za wavulana pale si nikamuona pembeni wakati nimepiga fyekeo Ana kichwa cha jogoo na mweusi daaa niliruka mbio Afande miraji akawa anasema we mtoto wa kiume unakimbia nyoka. Nikamwambia maishani sijawahi ona nyoka kama huyu. Ndo wanfunzi wengine wakajikusanya Mawe mpk. Wakamuua mi niko mita 110,000 mbali
 
Kutokana na kutoonekana mara kwa mara na lifestyle yake mpaka leo hatujui jina lake sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…