Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Hebu badili comment sasa NumbisaDuh kavuna alichopanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu badili comment sasa NumbisaDuh kavuna alichopanda
Asamehewe tu maana Watumishi wa uma karibia wote hawana nidhamu kwa wananchiWakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na tuhuma za kumtukana matusi wateja waliokwenda kupata huduma za mafuta, akiwemo mtumishi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu.
Maagizo hayo aliyatolea wakati alipotembelea ofisi za GPSA mkoani Tabora Jumanne, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.
RC Chacha alisema kuwa Meneja huyo alikubaliana kuwahudumia watumishi hao wa Waziri Mkuu kwa kuwapatia mafuta, lakini alivyowapokea usiku aliwatukana
Baada ya kudaiwa kutukanwa, watumishi hao walimpigia simu RC Chacha ambaye alimpigia simu meneja huyo. RC naye akatunwa matusi ya nguoni na meneja huyo.
Kwa upande wake Meneja wa GPSA mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, akijibu tuhuma hizo ameeleza kilichomsibu mpaka kusababisha kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na wateja waliofika kituoni kupata huduma ya mafuta .
Katika hatua nyingine, RC Chacha ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wawili wa TANROADS Mkoa wa Tabora, Meshack Deogratius na Godfrey Gration, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari lililozidisha uzito katika kituo cha kupima uzito cha Turi kilichopo mkoani Tabora.
Karukwaa mtu hapoooWakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na tuhuma za kumtukana matusi wateja waliokwenda kupata huduma za mafuta, akiwemo mtumishi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu.
Maagizo hayo aliyatolea wakati alipotembelea ofisi za GPSA mkoani Tabora Jumanne, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.
RC Chacha alisema kuwa Meneja huyo alikubaliana kuwahudumia watumishi hao wa Waziri Mkuu kwa kuwapatia mafuta, lakini alivyowapokea usiku aliwatukana
Baada ya kudaiwa kutukanwa, watumishi hao walimpigia simu RC Chacha ambaye alimpigia simu meneja huyo. RC naye akatunwa matusi ya nguoni na meneja huyo.
Kwa upande wake Meneja wa GPSA mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, akijibu tuhuma hizo ameeleza kilichomsibu mpaka kusababisha kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na wateja waliofika kituoni kupata huduma ya mafuta .
Katika hatua nyingine, RC Chacha ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wawili wa TANROADS Mkoa wa Tabora, Meshack Deogratius na Godfrey Gration, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari lililozidisha uzito katika kituo cha kupima uzito cha Turi kilichopo mkoani Tabora.
Alimrekodi? sina hakika kama ni kweli japo hata simjui huyo Meneja hapa kuna hitaji tume hurukwa bahati mbaya sana, pombe imegarimu wengi, haijawahi kumwacha mtu salama. ona sasa hapo amemtukana mkuu wa mkoa kuwa akome kumpigia akiwa kwenye starehe, kama alivyokoma kunyonya ziwa la mama yake.
Huyu RC atakuwa amenyimwa kitu cha rushwaHana mamlaka ya kuwasimamisha, pia hakuna matusi hapo.
Na sidhani kama ni kweli kamtukana, itakuwa walipishana diliTaratibu za utumishi wa umma zinasemaje mtumishi anapokuwa amemaliza muda wa kazi kwa siku?tukumbuke hayo matusi hakuyatoa mchana muda wa kazi though siujui mkataba wake unasemaje.
Kwa sababu simu amepigiwa (na mkuu wa mkoa anakiri) saa tano usiku na huo ni muda kila mtu anafanya yake anayoyajua,kutukana watu kweli ni kosa haipendezi silitetei hilo but waangalie na mazingira yenyewe tukio lilipotokea.
Hebu badili comment sasa Numbisa
Sawa amemwambia hivyo lakini umezingatia ilikuwa saa ngapi?kwa bahati mbaya sana, pombe imegarimu wengi, haijawahi kumwacha mtu salama. ona sasa hapo amemtukana mkuu wa mkoa kuwa akome kumpigia akiwa kwenye starehe, kama alivyokoma kunyonya ziwa la mama yake.
Manager ndio mtu wa kwanza katika Ofisi ivo anatakiwa Kuwa responsible muda wowote ule atakapohitajika, Ndio image ya Ofisi ndio mana unakuta analipwa mpaka incentives ambazo wengine hawalipwi tafsri yake ni Kuwa being a Manager is the full time jobTaratibu za utumishi wa umma zinasemaje mtumishi anapokuwa amemaliza muda wa kazi kwa siku?tukumbuke hayo matusi hakuyatoa mchana muda wa kazi though siujui mkataba wake unasemaje ila kisheria mkuu wa mkoa ndiye ameingilia uhuru wa jamaa.
Kwa sababu simu amepigiwa (na mkuu wa mkoa anakiri) saa tano usiku na huo ni muda kila mtu anafanya yake anayoyajua,kutukana watu kweli ni kosa haipendezi silitetei hilo but waangalie na mazingira yenyewe tukio lilipotokea.
Walevi tukamtete mwamba jamani mwenzetu karikorogaa huko...Wakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na tuhuma za kumtukana matusi wateja waliokwenda kupata huduma za mafuta, akiwemo mtumishi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu.
Maagizo hayo aliyatolea wakati alipotembelea ofisi za GPSA mkoani Tabora Jumanne, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.
RC Chacha alisema kuwa Meneja huyo alikubaliana kuwahudumia watumishi hao wa Waziri Mkuu kwa kuwapatia mafuta, lakini alivyowapokea usiku aliwatukana
Baada ya kudaiwa kutukanwa, watumishi hao walimpigia simu RC Chacha ambaye alimpigia simu meneja huyo. RC naye akatunwa matusi ya nguoni na meneja huyo.
Kwa upande wake Meneja wa GPSA mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, akijibu tuhuma hizo ameeleza kilichomsibu mpaka kusababisha kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na wateja waliofika kituoni kupata huduma ya mafuta .
Katika hatua nyingine, RC Chacha ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wawili wa TANROADS Mkoa wa Tabora, Meshack Deogratius na Godfrey Gration, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari lililozidisha uzito katika kituo cha kupima uzito cha Turi kilichopo mkoani Tabora.
Watu wanajua kuroga jamani...huyo jamaa aliyemfanyia mwenzake hivyo Mungu anamuonaWakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na tuhuma za kumtukana matusi wateja waliokwenda kupata huduma za mafuta, akiwemo mtumishi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu.
Maagizo hayo aliyatolea wakati alipotembelea ofisi za GPSA mkoani Tabora Jumanne, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.
RC Chacha alisema kuwa Meneja huyo alikubaliana kuwahudumia watumishi hao wa Waziri Mkuu kwa kuwapatia mafuta, lakini alivyowapokea usiku aliwatukana
Baada ya kudaiwa kutukanwa, watumishi hao walimpigia simu RC Chacha ambaye alimpigia simu meneja huyo. RC naye akatunwa matusi ya nguoni na meneja huyo.
Kwa upande wake Meneja wa GPSA mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, akijibu tuhuma hizo ameeleza kilichomsibu mpaka kusababisha kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na wateja waliofika kituoni kupata huduma ya mafuta .
Katika hatua nyingine, RC Chacha ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wawili wa TANROADS Mkoa wa Tabora, Meshack Deogratius na Godfrey Gration, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari lililozidisha uzito katika kituo cha kupima uzito cha Turi kilichopo mkoani Tabora.
hajalewa muda wa kazi,na hakuwa eneo la kazi kwa muda huo, na huo muda walio mtafuta haukuwa muda wa kazi full stop. Alisikika mwanasheria mmoja kutoka kibosho.Mbuyu ulianza kama mchicha 🐼
Kamishna Mkuu wa TRA alipigiwa Simu na shujaa Magufuli saa 8 usiku hakupokeahajalewa muda wa kazi,na hakuwa eneo la kazi kwa muda huo, na huo muda walio mtafuta haukuwa muda wa kazi full stop. Alisikika mwanasheria mmoja kutoka kibosho.