Tabora: RC Paulo Chacha amsimamisha kazi Meneja GPSA kwa kutukana wateja

Tabora: RC Paulo Chacha amsimamisha kazi Meneja GPSA kwa kutukana wateja

Hivi MAYALA tuliambiwa maana yake nini tena?! 😄

Hapa Kimeumana! 😄 , km kweli ni pombe anapaswa ailaani! Iwe mwiko kwake Mayala! 😄

Ila hii ni fikra zangu tu! Sina mamlaka ya kumpangia! 🤣
Mayalla ya pombe imemponza Mayala.
 
  • Kama 'token' ya mafuta walikuwa nayo, na meneja alijulishwa awali, kwa kuwa si vituo vyote vinafanya kazi masaa 24; meneja alitakiwa amuachie maagizo aliyepo kwenye mafuta kuhusu lile hitaji la dharula; Kutokufanya hivyo taratibu za kinidhamu zinaweza chukuliwa.​
  • Kama hakukuwa na 'token', ila utashi ndio utumike kwenye kutoa mafuta, hapo mtumishi hana kosa.​
 
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na tuhuma za kumtukana matusi wateja waliokwenda kupata huduma za mafuta, akiwemo mtumishi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu.

Maagizo hayo aliyatolea wakati alipotembelea ofisi za GPSA mkoani Tabora Jumanne, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.

RC Chacha alisema kuwa Meneja huyo alikubaliana kuwahudumia watumishi hao wa Waziri Mkuu kwa kuwapatia mafuta, lakini alivyowapokea usiku aliwatukana

Baada ya kudaiwa kutukanwa, watumishi hao walimpigia simu RC Chacha ambaye alimpigia simu meneja huyo. RC naye akatunwa matusi ya nguoni na meneja huyo.

Kwa upande wake Meneja wa GPSA mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, akijibu tuhuma hizo ameeleza kilichomsibu mpaka kusababisha kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na wateja waliofika kituoni kupata huduma ya mafuta .

Katika hatua nyingine, RC Chacha ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wawili wa TANROADS Mkoa wa Tabora, Meshack Deogratius na Godfrey Gration, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari lililozidisha uzito katika kituo cha kupima uzito cha Turi kilichopo mkoani Tabora.



Watu wakilalamika kuwa kuna miungu watu , sasa tuelewe.
Jamaa anamvimbia hata Mkuu wa Mkoa under influence!
 
Msikilize,ukimaliza type mawazo Yako!
 

Attachments

  • VID-20250303-WA0027.mp4
    40.5 MB
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na tuhuma za kumtukana matusi wateja waliokwenda kupata huduma za mafuta, akiwemo mtumishi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu.

Maagizo hayo aliyatolea wakati alipotembelea ofisi za GPSA mkoani Tabora Jumanne, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.

RC Chacha alisema kuwa Meneja huyo alikubaliana kuwahudumia watumishi hao wa Waziri Mkuu kwa kuwapatia mafuta, lakini alivyowapokea usiku aliwatukana

Baada ya kudaiwa kutukanwa, watumishi hao walimpigia simu RC Chacha ambaye alimpigia simu meneja huyo. RC naye akatunwa matusi ya nguoni na meneja huyo.

Kwa upande wake Meneja wa GPSA mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, akijibu tuhuma hizo ameeleza kilichomsibu mpaka kusababisha kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na wateja waliofika kituoni kupata huduma ya mafuta .

Katika hatua nyingine, RC Chacha ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wawili wa TANROADS Mkoa wa Tabora, Meshack Deogratius na Godfrey Gration, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari lililozidisha uzito katika kituo cha kupima uzito cha Turi kilichopo mkoani Tabora.



 

Attachments

  • VID-20250303-WA0027.mp4
    40.5 MB
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paulo Chacha, amemwagiza Katibu Tawala wa Mkoa kumsimamisha kazi Meneja wa Wakala wa Huduma za Ununuzi Serikalini (GPSA) Mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, kutokana na tuhuma za kumtukana matusi wateja waliokwenda kupata huduma za mafuta, akiwemo mtumishi kutoka ofisi ya Waziri Mkuu.

Maagizo hayo aliyatolea wakati alipotembelea ofisi za GPSA mkoani Tabora Jumanne, akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.

RC Chacha alisema kuwa Meneja huyo alikubaliana kuwahudumia watumishi hao wa Waziri Mkuu kwa kuwapatia mafuta, lakini alivyowapokea usiku aliwatukana

Baada ya kudaiwa kutukanwa, watumishi hao walimpigia simu RC Chacha ambaye alimpigia simu meneja huyo. RC naye akatunwa matusi ya nguoni na meneja huyo.

Kwa upande wake Meneja wa GPSA mkoa wa Tabora, Mayala Mburi, akijibu tuhuma hizo ameeleza kilichomsibu mpaka kusababisha kutoa lugha za matusi kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na wateja waliofika kituoni kupata huduma ya mafuta .

Katika hatua nyingine, RC Chacha ameagiza kusimamishwa kazi kwa watumishi wawili wa TANROADS Mkoa wa Tabora, Meshack Deogratius na Godfrey Gration, kwa tuhuma za kupokea rushwa kutoka kwa dereva wa gari lililozidisha uzito katika kituo cha kupima uzito cha Turi kilichopo mkoani Tabora.



Huyu akipigwa chini akabaki jobless kwa miaka mitano, ukichaa wake utaisha (kama hajafa kwa depression)!
 
Sasa kama boss ndo cha pombe hivi?
Wa chini yake wana hali gani?
 
Back
Top Bottom