Tabora: RC Paulo Chacha amsimamisha kazi Meneja GPSA kwa kutukana wateja

Asamehewe tu maana Watumishi wa uma karibia wote hawana nidhamu kwa wananchi
 
Karukwaa mtu hapooo
 
Siamini kama ni kweli, inahitajika tume huru, hawa wakuu wa mikoa wakinyimwa mafuta ya dili huwa wanageuka na kuanza kutumia madaraka yao vibaya, kama alimtukana kwanini hakumpeleka polisi?
 
kwa bahati mbaya sana, pombe imegarimu wengi, haijawahi kumwacha mtu salama. ona sasa hapo amemtukana mkuu wa mkoa kuwa akome kumpigia akiwa kwenye starehe, kama alivyokoma kunyonya ziwa la mama yake.
Alimrekodi? sina hakika kama ni kweli japo hata simjui huyo Meneja hapa kuna hitaji tume huru
 
Na sidhani kama ni kweli kamtukana, itakuwa walipishana dili
 
Kosa Moja halimfukuzishi mke. Cha msingi na muhimu ni taratibu za kiutumishi zifuatwe na asionewe mtu.
 
kwa bahati mbaya sana, pombe imegarimu wengi, haijawahi kumwacha mtu salama. ona sasa hapo amemtukana mkuu wa mkoa kuwa akome kumpigia akiwa kwenye starehe, kama alivyokoma kunyonya ziwa la mama yake.
Sawa amemwambia hivyo lakini umezingatia ilikuwa saa ngapi?

Angekuwa amemjibu hivyo 08:30 AM to 16:00 AM ule muda angetakiwa awajibike ofisini then ingekuwa kesi lakini mtu mchana kutwa amewajibika kuitumikia ofisi yako saa tano usiku mtu amepumzika na mkewe unampigia wa kazi gani?
 
Hawa viongozi wa kisiasa wana shida mingi sana.
 
Manager ndio mtu wa kwanza katika Ofisi ivo anatakiwa Kuwa responsible muda wowote ule atakapohitajika, Ndio image ya Ofisi ndio mana unakuta analipwa mpaka incentives ambazo wengine hawalipwi tafsri yake ni Kuwa being a Manager is the full time job
 
Walevi tukamtete mwamba jamani mwenzetu karikorogaa huko...
Pombe sio chai jamani..
 
Watu wanajua kuroga jamani...huyo jamaa aliyemfanyia mwenzake hivyo Mungu anamuona
 
Sema Mkuu wa Mkoa ana deka sana tumatusi huto tu ndo ana maindi? Wananchi wanatukanwa kila siku na bado hawaachi kutaka huduma za hao wakoo.
 
hajalewa muda wa kazi,na hakuwa eneo la kazi kwa muda huo, na huo muda walio mtafuta haukuwa muda wa kazi full stop. Alisikika mwanasheria mmoja kutoka kibosho.
Kamishna Mkuu wa TRA alipigiwa Simu na shujaa Magufuli saa 8 usiku hakupokea

Alipoamka Asubuhi akakuta Msigwa ameshatangaza Utumbuzi 😀😀
 
Ukisikia ule msemo wa "pombe siyo chai" ndiyo umetembea sasa na jamaa yetu Mayala Mburi! Kutoka kuwa Boss mpaka kwenda kushinda ukisoma tu magazeti kwenye ofisi ya RAS! Siyo kazi nyepesi hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…