Tabora United Ikiifunga Simba SC Nifungiwe JF mwaka mzima

Tabora United Ikiifunga Simba SC Nifungiwe JF mwaka mzima

Sioni Tabora hii iliyofunga Vichaa Azam na Yanga mbovu akipata ushindi dhidi ya Simba hii ya Moto.

1.Simba amepata mechi nyingi za ushindani kimataifa wakati Tabora akiwa hana

2.Ubora wa kikosi cha simba dhidi ya Tabora.

Mods shikiria hapo hapo.
Hizi takataka zingine bana... Kuiga iga tu... wanaotoa ahadi za kufungiwa JF ni wale wenye ID maarufu za muda mrefu au awe platnum level au angalau senior expert member sio wewe kiazi hata wiki hujamaliza toka ujiunge hapa. Huna faida wala hasara😀😀

BTW, we ni mpenzwi wa mpira au mpenzi wa mpira?
 
Hizi takataka zingine bana... Kuiga iga tu... wanaotoa ahadi za kufungiwa JF ni wale wenye ID maarufu za muda mrefu au awe platnum level au angalau senior expert member sio wewe kiazi hata wiki hujamaliza toka ujiunge hapa. Huna faida wala hasara😀😀

BTW, we ni mpenzwi wa mpira au mpenzi wa mpira?
Nimekaambia hakana ata mwezi apa kanajikuta jeuri
 
Hizi takataka zingine bana... Kuiga iga tu... wanaotoa ahadi za kufungiwa JF ni wale wenye ID maarufu za muda mrefu au awe platnum level au angalau senior expert member sio wewe kiazi hata wiki hujamaliza toka ujiunge hapa. Huna faida wala hasara😀😀

BTW, we ni mpenzwi wa mpira au mpenzi wa mpira?
See how many trashes you have placed on your head
 
Mbarika na nyonyo zinagombana?
Mbarika ndio nyonyo na nyonyo ndio mbarika.
Hakuna ugomvi hapo.
 
Sioni Tabora hii iliyofunga Vichaa Azam na Yanga mbovu akipata ushindi dhidi ya Simba hii ya Moto.

1.Simba amepata mechi nyingi za ushindani kimataifa wakati Tabora akiwa hana

2.Ubora wa kikosi cha simba dhidi ya Tabora.

Mods shikiria hapo hapo.
Insanity
 
Back
Top Bottom