Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahamiaji haramu 32 raia wa Burundi wamekamatwa Mkoani Tabora wakitokea Mkoa wa Kigoma kuelekea Mikoa ya DSM na Mbeya katika upekuzi watatu wamekutwa na vitambulishio vya kupigia kura vya Tanzania na sita wakiwa na barua za utambulisho kutoka kwa Watendaji wa Kata za Mkoa wa Kigoma na DSM.
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari Afisa Uhamiaji Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi wa Uhamiaji Amiru Sadick Salim amesema Wahamiaji 25 kati yao wamekamatwa Wilayani Urambo wakiwa ndani ya treni kutoka Kigoma kwenda DSM huku wengine saba kituo kikuu cha mabasi Tabora wakitoka Kigoma kuelekea Mbeya.
View attachment 1592829
Lissu na wakimbizi,sio kibaraka was mtu Mimi ila hapo umeongozwa na mihemko.punguza jazba utapasuka ,mkuuLissu ameanza kuandaa Timu yake ya Vurugu baada ya kushindwa. Mwaka huu ataogea barafu, yeye na vibaraka wake. JPM tano tena.
hao ni ndugu zake Magufuli wamekuja kupiga kura