Tabora: Wahamiaji haramu 32 wakamatwa wakitokea Kigoma na wana vitambulisho vya kupigia kura

Waandishi waifuatilie vizuri hii ishu. Wamekutwa na vitambulisho wa kupiga kura, na baadhi wana barua za utambulisho, tuanzie hapo; walivipata kupitia mitaa au vijiji gani, ili viongozi wa serikali za mitaa wasio waaminifu waadhibishwe kisheria.
 
CHADEMA kuweni makini na hawa wanaongia nchini huko boda mwezi huu... Yataingizwa mengi..
Jiwe linajua lishafeli..
 
Lissu ameanza kuandaa Timu yake ya Vurugu baada ya kushindwa. Mwaka huu ataogea barafu, yeye na vibaraka wake. JPM tano tena.
Lissu na wakimbizi,sio kibaraka was mtu Mimi ila hapo umeongozwa na mihemko.punguza jazba utapasuka ,mkuu
 
Hawa wamejaa mikoa ya kanda ya ziwa kama vibarua kwenye mashamba hasa Rukwa,Tabora(mashamba ya tumbaku),Geita,Kigoma wilaya zote,Mwanza,Kagera(Biharumulo).
Hii mipaka aliyetuweka Beberu ilitugawa sana.
 
Usalama wa taifa hakuna wanachofanya takataka kabisa. Raia wa nchi jirani wanapataje access ya vitambulisho vya kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…