DOKEZO Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

DOKEZO Tabora: Wanafunzi wafukuzwa kwa kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Lakini wakuu....
Minaona kwamba malezi ya mtoto hutokea nyumbani.
Ili mtoto awe na nidhabu, mwenye kuheshimu wakubwa, mwenye kutambua maadili mema nk: haya yooye huanzia nyumbani na kisha shuleni anaenda kufuata masomo pamoja na kuzifuata sheria za shule.
Mtoto aliepata msingi wa malezi bora anajulikana tu kuanzia kwenye discipline.
Malezi hayawezi kuishia Kwa wazazi tutqjidanganya tu
Mtoto ni WA jamii nzima
 
Wewe ni mbinafsi sana
Yaani unaona mtoto kwakuwa sio wako afukuzwe shule
Kuji rekodi video sio mwisho wa maisha
Huyo Binti anaweza kuwa daktari akakuti, akawa askari akakulinda
Mtoto ni WA jamii
laZima aliteleza tumrekebishe arudi maana tunatambia ni mtoto na mtoto laZima afanye utoto
Akikosea tukamfukuza shule tunapoteza jamii

Mabinti wamekosea sawa ila Bado tunawahitaji laZima tuwarekebishe warudi

Kazi ya kulea sio mzazi pekee
Huo udaktari ataupata kwa kukirekodi picha za uchi ?
Kwani hao watoto wangekuwa wa kwangu ninge ukataza uongozi wa shule isiwafukuze?
Kwanza mtoto wa miaka 14 unamnunulia smartphone ili iweje hasa zaidi ya ushamba na ulimbukeni?

Kama kazi ya kulea mtoto sio ya mzazi pekee mbona mnashinda humu mnawaponda waalimu pale wanapo wapiga bakora watoto kwalengo la kuwarekebisha tabia zao mbaya?
Shule zinaongozwa kwa miongozo ya wizara ya elimu na sio kwa utashi wa mtu binafisi hivyo usilirazimishe mawazo yako ndo yaonekane ni sahihi.
Ww kama unaona hizo sheria sio sahihi mwambie mbunge wako apeleke mswada bungeni ili sheria zibadilishwe.
 
Wakuu habari zenu!

Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.

Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.

Soma, Pia:
+
Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Inabidi wawe na shule zao ili sumu isisambae Kwa watoto wengine
 
Huo udaktari ataupata kwa kukirekodi picha za uchi ?
Kwani hao watoto wangekuwa wa kwangu ninge ukataza uongozi wa shule isiwafukuze?
Kwanza mtoto wa miaka 14 unamnunulia smartphone ili iweje hasa zaidi ya ushamba na ulimbukeni?

Kama kazi ya kulea mtoto sio ya mzazi pekee mbona mnashinda humu mnawaponda waalimu pale wanapo wapiga bakora watoto kwalengo la kuwarekebisha tabia zao mbaya?
Shule zinaongozwa kwa miongozo ya wizara ya elimu na sio kwa utashi wa mtu binafisi hivyo usilirazimishe mawazo yako ndo yaonekane ni sahihi.
Ww kama unaona hizo sheria sio sahihi mwambie mbunge wako apeleke mswada bungeni ili sheria zibadilishwe.
Wewe kwenye simu umeona mabaya tu
Hujui Kuna mazuri mengi ya simu,
Kwanini mnaamini mtoto kuwa na simu ni dhambi?

Haki ya misingi ni mtoto apate elimu hata iweje, awe mlemavu, awe Malaya, mlevi n.k
Hakuna sheria ya kutengua mtoto asipate elemu
 
hakuna siri, kwa mtazamo wangu, katika mawaziri failures wa mama Samia huyu Dkt. Gwajima D anaongoza.

Taifa limeporomoka kabisa kimaadili mpaka naamini kuwa yeye ndiye muhusika mkuu wa maadili kuporomoka kwa kushindwa kwake kudhibiti kwa njia za kisasa.

Nilicheka peke yangu, aliponambia humu JF kuwa anatumia mbinu za enzi za mMkapa kupambana na matatizo ya sasa.

Nilimponda hapohapo, kwani hata nilipojaribu kumshauri alikuwa hanielewi kabisa. Nikaelewa kuwa huyu mwanamke hana ubunifu kabisa.

Tunajionea maadili ya jamii yanavyozidi kuporomoka kila kukicha.
Wewe bibi huyu mama Gwajima kakukosea nn mbona unapenda kumuandama sana
 
Malezi hayawezi kuishia Kwa wazazi tutqjidanganya tu
Mtoto ni WA jamii nzima
Soma uelewe mkuu.
Malezi huanzia nyumbani nikimaanisha maadili ya mtoto huanzia kufundishwa na wazazi wake mzee.
Huko kwenye jamii wataendeleza maadili ambayo mtoto ametoka nayo nyumbani kwa wazazi/walezi wake
 
Kwani umeambiwa Hawa hawatasoma tena? Unajua kama haki ya kusoma ni ya kisheria kwenye Sheria yao. Nilichojifunza, watoa komenti mahiri wanahitaji semina ya kujua mambo mengi kuhusu wizara hii na miundo kwa ujumla Ili bidii yao ya komenti iwe na tija zaidi. Vinginevyo ni kurusha mishale tu direction tofauti na target. Ndiyo maana kumbe wengine huwa hata hawajibu maana hata ukijibu wanaona komenti inakuja tena target nje kabisa. Ila tutawaelimisha msijali Ili kuboresha komenti
Kama watarejeshwa Hamuoni kuwa italeta ushawishi Kwa vijana wengine kuweza kufanya Hicho kitendo bila hofu ya kuchukuliwa hatua zozote za kisheria ??

Maana wataona Agghh kumbe ukijirekodi Na video ikivuja basi utaishia kusemwa Tu na kuhamishwa shule
 
Na nyimbo zinazohamasisha ngono wanaziachilia wao wako busy kufungia nyimbo zenye ushawishi harakati za kisiasa?

Pia kutotaja hiyo shule ndio suluhu ya kumaliza tatizo.?
Unataka ukaopoe bebi mapema?
Maana nahisi umeshaona hiyo shule wanavipaji kwenye mambo ya ngono....
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Hivi huu Ustawi wa Jamii unaona hili Bomu la Kesho au wapo kufanya Now bila kuangalia Kesho....

 
Wakuu habari zenu!

Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.

Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.

Soma, Pia:
+
Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Nikisema ccm ni inyaaa💩 muwe mnaelewa ..

Yani anaejirekodi afukuzwe alaf anaepata na mimba na kuzaa wasamehewe warudi shulen.....hao watoto wamefanya tukio dogo la utoto tu awakustaili hata kupigwa konzi ni kuwaelewesha tu
 
Huu upuuzi wa adhabu za namna hii sijawahi kuelewa mantiki yake, maamuzi ya namna hii yamejaa roho mbaya na mihemuko tu, mtoto mdogo unaona adhabu ya kumfukuza shule???? Kwa maana anapewa adhabu ya kunyimwa haki yake ya elimu???? Hii haina tofauti na adhabu ya kifo. Hii ni kumkomoa kabisaaa kwamba hapewi second chance ya kujirkebisha.
Aliwahi kufanyiwa hvi shemeji yangu akiwa form five kisa tu wamekamatwa usiku walikuwa wametoroka wameenda kuangalia mpira UEFA champions league and the guy was very bright , sasa hvi yupo tu mtaani anaendelea na mishe zingine.

Narudia tena huu ni upuuzi na roho mbayaa
 
Back
Top Bottom