Tabora wanahitaji msukumo wa ziada kiuchumi

 
nimekuelewa sana mkuu, sijui tatizo la sehemu nyingi ambazo waislamu ndio wengi, kazi ya hizo sehemu ni musikitini, kahawa na ubakaji period, angalia tanga miaka ya nyuma mji ulikuwa wa mbele sana sasa elimu ni madarasa tu

Kama ulivyosema sehemu wakiwa Waislam wengi hakuna maendeleo. Vivyo hivyo nchi ikiongozwa na Wakristo wengi hususan huku Kusini mwa Sahara isahau kupata maendeleo. Mfano mzuri ni Tanzania ambayo asilimia tisini ya viongozi na watumishi wa umma ni Wakristo ndiyo maana nchi iko hoi bin taaban. Maendeleo hakuna na kiwango cha umasikini kipo juu.
 
Maeneo mengi yanafikika law urahisi ndiyo maana hakuna daladala za magari
Daladala ni magari yanayofanya routes za ndani ya mji. Nitajie mitaa ya Tabora na routes zake za daladala. Mfano, nitajie daladala zinazoelekea Hospital ya rufaa ya Mkoa (kitete)
 
Ni ngumu kukubaliana na nadhalia hii. Oman, Dubai, Singapore, Malaysia, turkey, Egypt, Qatar, Kuwait, Moroco, Saudia, nk ni nchi zinazoongozwa na waislamu lakini ziko mbele kiuchumi. China ni nchi ya kipagani lakini iko mbele, Ulaya na Amerika kuna wakristo wengi na wako mbele kiuchumi pia. Nadhalia yako haina mashiko. Ziko factors nyingine Tu za kuifanya Tabora iwe vile ilivyo lakini sio waarabu wala wazungu
 
Uhalifu umezidi Tabora, hadi Mkuu wa Mkoa ameamua wananchi kupiga kura ya maoni kuwatambua wabakaji na wahalifu, huoni kwamba hali imekithiri?

Lakini uhalifu Tabora haukuanza leo, hata Tip Tipu yule mhalifu aliyekuwa akichoma nyumba za watu na kukamata watu wa kwenda kuuzwa alikuwa na asili ya Tabora.
 
Njoo Chemu-Chemu tutunishe Misuli ,Kisha Twende zetu Ng'ambo tukapate Mataputapu.
 

Mkuu hiyo comment niliitoa kumjibu jamaa mmoja anayejiita THE SEAL aliyesema kuwa Tabora haina maendeleo kwa sababu Waislam ni wengi na sehemu ambazo Waislam ni wengi hakuna maendeleo kwa sababu Waislam ni wavivu. Ndiyo nikamjibu hivyo.
 
Mkifanikiwa kuwaangamiza wale koboko tutakuja kuwekeza
 
Mji ukikua koboko wataondoka...Koboko wako kwenye mapori kama ya Inonelwa, Msangi, Kalunde, Igombe na mapori mengine.
 
Nasikia ni moja kati ya mkoa hatari kwa wapendamaendeleo especially wageni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…