kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #61
Mkuu tabora unayoisema hapa sio kweli ,tabora inajitahidi japo mzunguko pesa sio mzuri ,roma haikujengwa kwa siku moja.
[/QUOT
Roma haikujengwa siku moja huo msemo hautumiki Kwa Tabora. Kumbuka kuwa Kisarawe na Tabora ni miongoni mwa halmashauri za mwanzo kabisa tangu wakati wa mkoloni, kudumaa kiasi hiki sio Sawa, mbaya zaidi wilaya zote na majimbo yote miaka yote ni CCM inaongoza.