Tz is not poor country no matter what period.Tabora ni pahali panaweza kukua sana kiuchumi, kunawezekano wa kuweka kiwada cha kisasa cha asali, cha kujicha ngome na mbuzi na pia kuwekeza katika shamba kubwa ya ngombe wa maziwa na kiwada cha maziwa, tatizo kubwa kwa mji kaa tabora na miji mingine na tz kwa ujumla ni hili, mazingira chafu na mabaya kwa uwekezaji , ile kitu inaitwa FDI wawekezaji toka nje ya nchi wanaweza ekeza, lakini kwa hii serikali APANA, so tz itabaki vile vile very very poor country