Tabora wanahitaji msukumo wa ziada kiuchumi

Tabora wanahitaji msukumo wa ziada kiuchumi

Tabora ni pahali panaweza kukua sana kiuchumi, kunawezekano wa kuweka kiwada cha kisasa cha asali, cha kujicha ngome na mbuzi na pia kuwekeza katika shamba kubwa ya ngombe wa maziwa na kiwada cha maziwa, tatizo kubwa kwa mji kaa tabora na miji mingine na tz kwa ujumla ni hili, mazingira chafu na mabaya kwa uwekezaji , ile kitu inaitwa FDI wawekezaji toka nje ya nchi wanaweza ekeza, lakini kwa hii serikali APANA, so tz itabaki vile vile very very poor country
Tz is not poor country no matter what period.
 
Umeshaona makao makuu ya mkoa yana daladala moja Tu na maduka kufunguliwa saa 3? Sehemu moja Tu inaitwa Oxygen ndo ina afadhali nyakati za jioni.
Hili la daladala moja kwa mkoa mkubwa kuliko yote Tz kijiografia, sikubaliani nalo ingawa sijawahi kufika Tbr. Ngoja wenyeji waje.
 
Migahawa mizuri ya maana katikati ya mji niliona miwili tu, hotel za kulala chache sana halafu zina hadhi ya kawaida sana ukitoa Frankman.
 
Tatizo la mkoa wa tabora wote ni UMWINYI, wa wakazi wake, hawataki kufanya kazi, wao ni bao tu, yaani ni kama mikoa mingi ya pwani,, na ndio maana hata vijana wa pale wengi ni vibaka tu tu, katika mikoa inayoongoza kwa ukabaji ukiacha dar ni tabora!! Vijana hawataki kufanya kazi!! Msikitini, kwenye bao na kahawa
Tabora ipi hiyo ambayo kuna ukabaji??
 
Tabora ipi hiyo ambayo kuna ukabaji??
Tabora mjini!! Yaani huo mji haufai, kuna jamaa namfahanu ni muislam ila imemlazimu kufuga mbwa tu hakuna jinsi!! Kwani kama ni kumuibia walimuibia vya kutosha!! Mwezi wa saba, kulikuwa na wasafi festival hapo nilichokiona sikuamini kama kinafanyika tabora, watu walipolwa, kubakwa!! Vijana wafanye kazi
 
Msukumo toka kwa viongozi ni duni, wengi huletwa wanasiasa makada na viongozi maslahi. Tumbaku haina maslahi kwa mkoa zaidi ya kuleta jangwa kwa ukataji miti. Mradi wa MKUU wa mkoa kupanda miti mjini ni bomu linalokuja, kubomoa barabara na kuangukia majumba. Miti imepandwa mpaka eneo la wapita kwa miguu. Juhudi hii ingepelekwa mashambani ingesaidia ecolojia.
 
Tabora mjini!! Yaani huo mji haufai, kuna jamaa namfahanu ni muislam ila imemlazimu kufuga mbwa tu hakuna jinsi!! Kwani kama ni kumuibia walimuibia vya kutosha!! Mwezi wa saba, kulikuwa na wasafi festival hapo nilichokiona sikuamini kama kinafanyika tabora, watu walipolwa, kubakwa!! Vijana wafanye kazi
vipi hakuibiwa kuku? Wizi Tabora umekithiri. Hata mbwa huhongwa kwa kuja usiku na chakula mara kwa mara mpaka huwazoea. Isevya, Ng'ambo na Mwanza Road, utakutana na familia ni wezi kuanzia babu, baba, watoto, wajukuu, mpaka wakamwana hujfunza wizi wakisha olewa.
 
Migahawa mizuri ya maana katikati ya mji niliona miwili tu, hotel za kulala chache sana halafu zina hadhi ya kawaida sana ukitoa Frankman.
Restaremi mkuu ukuiona? Tabora hotel nayo ukuiona? Acha uongo tabora inakuwa kwakasi sana. Barabara zalami zimezagaa karibia mjini kote
 
Sijui niseje nielweke ni ushamba au mini kwa hili jambo ambalo mtu anataka mini yote Tanzania ifanane na dar yani hataki jiuliza hivi kwanini mwanza haifanani na arusha, na mbeya, au Dodoma au kwanini watu wa Dodoma wanaishi hivi tofauti na kigoma yani anataka yeye jambo analoliona Dar alikute Bukoba

Jamani tukifika mini migeni tuangalie vitu muhimu vinavyovhochea maendeleo ambavyo mtendaji mkuu ni serikali hivyo vitu tusipoviona tujiulize inakuwaje hapa baada ya hapo ndio tuje tuangalie vitu vidogo vidogo hivi

Mfano mkoa wa Tabora, ukiangalia nature ya mji ni tambalale hakuna milima wala nini kwaiyo uendeshaji wa baiskeli hauschoshi na ndio maana biashara ya daladala ngumu sababu usafiri wa baiskeli umekuwepo kwa miaka mingi sana kwaiyo kukuta baiskeli nyingi si kuwa mji hauna maendeleo hapana huo ndio usafiri uliopo na ndio unatofautisha uko ulipotoka na hapo tabora

Hivi Tabora ni mji wa leo mji wa miaka lakini kwanini minj kama mwanza au mbeya baiskeli siyo nyingi unataka niambia huo wingi wa daladala mwanza au mbeya au arusha ulikuwepo tangu miaka ya 1980 jibu hapana nature ya mji nimefanya iwe hivyo hivi mbeya utaendesha baiskeli kutoka uyole mpaka mbalizi au mwanza utoke ilemela uje nyegezi milima ile si utafika hoi

Kwaiyo Tabora ipo hivyo na itabadilika kutokana na kizazi, Tabora ya mwaka 2000 siyo tabora ya leo umebadilika sana tena sana

ile kanyenye saa mbili usiku ilikuwa Giza na sauti za chura ila leo hii ndio sehemu iliyochangamka, kule kituo cha mabasi wale wenyeji mnakumbuka kule ilikuwa majaruba tupu ukifika usiku porini uko ila leo hii mji unechangamka
 
Sijui niseje nielweke ni ushamba au mini kwa hili jambo ambalo mtu anataka mini yote Tanzania ifanane na dar yani hataki jiuliza hivi kwanini mwanza haifanani na arusha, na mbeya, au Dodoma au kwanini watu wa Dodoma wanaishi hivi tofauti na kigoma yani anataka yeye jambo analoliona Dar alikute Bukoba

Jamani tukifika mini migeni tuangalie vitu muhimu vinavyovhochea maendeleo ambavyo mtendaji mkuu ni serikali hivyo vitu tusipoviona tujiulize inakuwaje hapa baada ya hapo ndio tuje tuangalie vitu vidogo vidogo hivi

Mfano mkoa wa Tabora, ukiangalia nature ya mji ni tambalale hakuna milima wala nini kwaiyo uendeshaji wa baiskeli hauschoshi na ndio maana biashara ya daladala ngumu sababu usafiri wa baiskeli umekuwepo kwa miaka mingi sana kwaiyo kukuta baiskeli nyingi si kuwa mji hauna maendeleo hapana huo ndio usafiri uliopo na ndio unatofautisha uko ulipotoka na hapo tabora

Hivi Tabora ni mji wa leo mji wa miaka lakini kwanini minj kama mwanza au mbeya baiskeli siyo nyingi unataka niambia huo wingi wa daladala mwanza au mbeya au arusha ulikuwepo tangu miaka ya 1980 jibu hapana nature ya mji nimefanya iwe hivyo hivi mbeya utaendesha baiskeli kutoka uyole mpaka mbalizi au mwanza utoke ilemela uje nyegezi milima ile si utafika hoi

Kwaiyo Tabora ipo hivyo na itabadilika kutokana na kizazi, Tabora ya mwaka 2000 siyo tabora ya leo umebadilika sana tena sana

ile kanyenye saa mbili usiku ilikuwa Giza na sauti za chura ila leo hii ndio sehemu iliyochangamka, kule kituo cha mabasi wale wenyeji mnakumbuka kule ilikuwa majaruba tupu ukifika usiku porini uko ila leo hii mji unechangamka
Mkuu umemuelewesha vema kabisa. Kwamfano hapa stand ilipo watu wazima wanasema palikuwa kuna majaruba ila kwasasa akija mgeni hawezi kuamini nawanakwambia wakati ule kiwanja maeneo haya yastand walikuwa wanauza haizidi laki 5 ila kwasasa sio Chini ya milioni Mia nakuendelea.

NB: wasomaji wahuu uzi tumpuuze huyu kijana aliyeuleta huu uzi tumchukulie kama vile rimbukeni [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hili la daladala moja kwa mkoa mkubwa kuliko yote Tz kijiografia, sikubaliani nalo ingawa sijawahi kufika Tbr. Ngoja wenyeji waje.
Ukiona madaladala labda kidogo yanaenda kama sio kutoka Nzega
 
Back
Top Bottom