INASEMAKANA SIMBA WAMEMSAJILI VICTOR AKPAN. je uwezo wa akpan na Tadeo Lwanga nani mzuri. Tudadavua hapa isije ikawa Simba tunacheza kamari tu.
Me maoni yangu kama mwana simba ni mchezaj wa kawaida kwa nini tusingeongezee hela hiyo tumchukue dogo mghana wa horoya aje azibe nafasi ya kukaba ambayo Simba imepwaya. Yanga wamefanikiwa kwa Bangala....
Me maoni yangu kama mwana simba ni mchezaj wa kawaida kwa nini tusingeongezee hela hiyo tumchukue dogo mghana wa horoya aje azibe nafasi ya kukaba ambayo Simba imepwaya. Yanga wamefanikiwa kwa Bangala....