GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Winga Mshambuliaji Onana baada ya Kumuona Mwenyewe katika Mechi alizocheza ( achilia mbali kule Rwanda alikokuweko ) nimegundua kuwa kwa 100% si Mchezaji mwenye Hadhi ( Profile ) ya Kuicheza Timu Kubwa na inayohitaji Matokeo ya haraka kama ya Simba SC.
Cha muhimu na kipekee alichonacho Onana ni zile Rasta zake za Kishamba alizopaka Rangi ya Nyumba na Hereni zake kama za Madenu zangu ninaowabandua Kutwa ila kuhusu Mpira hana Kitu na hapa wana Simba SC kama ambavyo tunawacheka Watani zetu Yanga SC kuwa wameliwa kwa akina Hafidh Konkon na Skudu Makudubela basi hata na Sisi Simba SC tusikatae kuwa nasi kwa Onana na Kram ( tunayemtetea kuwa ni Majeruhi ) nasi tumeliwa vile vile.
Na kama GENTAMYCINE nikiulizwa ni Wachezaji gani ninapendekeza wawe wa Kwanza Kuachwa na Simba SC Dirisha Dogo la Usajili la January kwa Kunikera Kwao na kwa Viwango vyao kuwa Chini na hawana msaada kwa Simba SC yetu nitapendekeza Leandre Wilson Onana na Jean Othos Baleke.
Waachwe tu upesi hawaisaidii Timu.
Cha muhimu na kipekee alichonacho Onana ni zile Rasta zake za Kishamba alizopaka Rangi ya Nyumba na Hereni zake kama za Madenu zangu ninaowabandua Kutwa ila kuhusu Mpira hana Kitu na hapa wana Simba SC kama ambavyo tunawacheka Watani zetu Yanga SC kuwa wameliwa kwa akina Hafidh Konkon na Skudu Makudubela basi hata na Sisi Simba SC tusikatae kuwa nasi kwa Onana na Kram ( tunayemtetea kuwa ni Majeruhi ) nasi tumeliwa vile vile.
Na kama GENTAMYCINE nikiulizwa ni Wachezaji gani ninapendekeza wawe wa Kwanza Kuachwa na Simba SC Dirisha Dogo la Usajili la January kwa Kunikera Kwao na kwa Viwango vyao kuwa Chini na hawana msaada kwa Simba SC yetu nitapendekeza Leandre Wilson Onana na Jean Othos Baleke.
Waachwe tu upesi hawaisaidii Timu.