Tafadhali dirisha Dogo la Usajili likifunguliwa tu Onana wa Simba SC aachwe na ikiwezekana hata na Baleke pia

Tafadhali dirisha Dogo la Usajili likifunguliwa tu Onana wa Simba SC aachwe na ikiwezekana hata na Baleke pia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Winga Mshambuliaji Onana baada ya Kumuona Mwenyewe katika Mechi alizocheza ( achilia mbali kule Rwanda alikokuweko ) nimegundua kuwa kwa 100% si Mchezaji mwenye Hadhi ( Profile ) ya Kuicheza Timu Kubwa na inayohitaji Matokeo ya haraka kama ya Simba SC.

Cha muhimu na kipekee alichonacho Onana ni zile Rasta zake za Kishamba alizopaka Rangi ya Nyumba na Hereni zake kama za Madenu zangu ninaowabandua Kutwa ila kuhusu Mpira hana Kitu na hapa wana Simba SC kama ambavyo tunawacheka Watani zetu Yanga SC kuwa wameliwa kwa akina Hafidh Konkon na Skudu Makudubela basi hata na Sisi Simba SC tusikatae kuwa nasi kwa Onana na Kram ( tunayemtetea kuwa ni Majeruhi ) nasi tumeliwa vile vile.

Na kama GENTAMYCINE nikiulizwa ni Wachezaji gani ninapendekeza wawe wa Kwanza Kuachwa na Simba SC Dirisha Dogo la Usajili la January kwa Kunikera Kwao na kwa Viwango vyao kuwa Chini na hawana msaada kwa Simba SC yetu nitapendekeza Leandre Wilson Onana na Jean Othos Baleke.

Waachwe tu upesi hawaisaidii Timu.
 
1.AYOUB LAKRED.
2. AUBIN KRAMO
3. MIQUISSONE.
4. ONANA.
5 .PHIRI
6. (KANUTE)
7. ( SAIDO)
Angeanza 1. Onana 2. Saidoo 3. Ayoub 4. Kramo

Hao wanatosha kuachwa dirisha dogo la Usajili. Kuwaacha wote uliowataja kwa pupa haiwezekani.

Ila Saidoo ana dawa kali sana. Haiwezekani anacheza dakika karibia zote. Sionagi output yake, kama ipo ni ndogo sana. Lakini, kocha ndiye anayejua zaidi.
 
1.AYOUB LAKRED.
2. AUBIN KRAMO
3. MIQUISSONE.
4. ONANA.
5 .PHIRI
6. (KANUTE)
7. ( SAIDO)
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Angeanza 1. Onana 2. Saidoo 3. Ayoub 4. Kramo

Hao wanatosha kuachwa dirisha dogo la Usajili. Kuwaacha wote uliowataja kwa pupa haiwezekani.

Ila Saidoo ana dawa kali sana. Haiwezekani anacheza dakika karibia zote. Sionagi output yake, kama ipo ni ndogo sana. Lakini, kocha ndiye anayejua zaidi.

Saido ni mchezaji Mzuri sana. Lakini Hana faida Tena

YANGA wamepoka mpira wake.

Aliacha jezi na Soksi yanga wamemroga.

(Atafutwe no 10 mwingine Simba)

SIMBA INASHIRIKI SUPER CUP TENA MWAKANI NA INAWEZA IKALAMBA TENA BILIONI 5.

ILI UWE NA TIMU SHINDANI WOTE NILIOWATAJA HAPO LAZIMA WAACHWE.
 
Jamaa humpendi tu Kanoute. Jamaa ni bonge la kiungo ukiondoa kutokuwa na 'Manjonjo' uwanjani.

Ni kiungo WA Chuma HASWA lakini si kiungo mkabaji Wala Mchezeshaji.

Ni mtumia NGUVU Nyingi uwanjani faul nyingi na ubabe mwingi.

Kanute hana Msaada ukitoa
Height na NGUVU tu
 
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu ya Kipekee ambayo inawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

ANAANDIKA

TUKANA UONE
Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake

"TUKANA UONE"
 
Saido ni mchezaji Mzuri sana. Lakini Hana faida Tena

YANGA wamepoka mpira wake.

Aliacha jezi na Soksi yanga wamemroga.

(Atafutwe no 10 mwingine Simba)

SIMBA INASHIRIKI SUPER CUP TENA MWAKANI NA INAWEZA IKALAMBA TENA BILIONI 5.

ILI UWE NA TIMU SHINDANI WOTE NILIOWATAJA HAPO LAZIMA WAACHWE.
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Ni kiungo WA Chuma HASWA lakini si kiungo mkabaji Wala Mchezeshaji.

Ni mtumia NGUVU Nyingi uwanjani faul nyingi na ubabe mwingi.

Kanute hana Msaada ukitoa
Height na NGUVU tu
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
ANAANDIKA

TUKANA UONE
Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake

"TUKANA UONE"
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

ANAANDIKA TUKANA UONE.

Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake

"TUKANA UONE"
 
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Mbulula tu wew huna lolote akili zako matope
 
ANAANDIKA

TUKANA UONE
Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake

"TUKANA UONE"
Sawa kbsa jamaa kazidi ujinga mno kila kitu anajioma mjuaji na hataki kukosolewa

Nimeamini mungu hakupi vyote kupitia hili jamaa
 
Mbulula tu wew huna lolote akili zako matope
Naona ID ya LIKUD imepumzishwa kwa sasa.

Hiki Kiingereza chako Kibovu, cha kutia Aibu na Kilichokuaibisha ulichokurupuka na Kujitutumua Kukiandika / Kuniandikia 'Wordsmith" Mimi GENTAMYCINE cha "Otherwise these is absolutely rubbish" ulijifunzia wapi Moron and Bipolar Case Mmoja Wewe?
 
Sawa kbsa jamaa kazidi ujinga mno kila kitu anajioma mjuaji na hataki kukosolewa

Nimeamini mungu hakupi vyote kupitia hili jamaa
Naona ID ya LIKUD kwa sasa imepumzishwa.

Hiki Kiingereza chako Kibovu, cha kutia Aibu na Kilichokuaibisha ulichokurupuka na Kujitutumua Kukiandika / Kuniandikia 'Wordsmith" Mimi GENTAMYCINE cha "Otherwise these is absolutely rubbish" ulijifunzia wapi Moron and Bipolar Case Mmoja Wewe?
 
Hapo kwa kanoute na phiri unazingua

Mkijifunza Mpira ndio Mtaelewa.

Phiri amewekwa Benchi na
1.zoran Mark.
2. Robertinho

Unazani Hawa MAKOCHA ni WAJINGA sana!!!!!!!

Kanute anachokupa ni NGUVU na urefu.
Zaidi ya Hapo
Pass za HOVYO, control mbovu, KUPOTEZA MIPIRA, Faul, kadi za njano nk.

TAFUTA Mchezaji aina ya Bangala.
Sijui Simba walimuachaje Efoe Novon
TAMAA YA KUMPATA MIQUISSONE ILIWAPONZA.
 
Kutwa unahubiri Kunichukia na Kutonipenda GENTAMYCINE hapa JamiiForums ila nashangaa huwa unakuwa so Active katika Kufuatilia Mada ( Threads ) zangu mbalimbali hapa je, Wenye Akili Kubwa Kukuzidi Wakueleweje?

Nilidhani usingekuwa unapoteza muda wako Kunisoma na badala yake ungekuwa Unawasoma hao uwaonao ni Bora Kwako na Mimi GENTAMYCINE ukaniacha na wengi Wanaonielewa, Wanaoniheshimu na Wanaonikubali sawa?

Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa GENTAMYCINE Shani / Tunu za Kipekee za kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ambazo zinawafanya Maadui zangu Wanichukie Machoni na Vidoleni mwao wakiwa wana type hapa JamiiForums ila Mioyoni mwao na Rohoni kwao Wananikubali hakuna mfano.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!

[emoji23][emoji23]ila we jamaa bwana
Sasa ulitaka wasichangie uzi wako mkuu?
Ametoa maon ila bado unamkandia

Niaje mzee?
 
Back
Top Bottom