Tafadhali kwa watanzania wanaoishi Marekani pita hapa

Status
Not open for further replies.
Hiv ukishinda hiyo dv lottery inachukua muda gani mpaka kwenda huko Marekani mkuu yani taratibu mpaka kukamilika?
Inachukua muda si chini ya miezi 6 kukamilisha process zote
 
Kwa hiyo mkuu unafikiria ukienda huko maisha yatakuwa kama unavyofikiria ,yaani overnight tu mambo yanabadilika ? Huko hamna hasara sio ? Ni faida tu ? Wewe kama umeweza kuweka misingi yako vizuri Tanzania endelea kupambana mambo yatakaa sawa na badala ya kwenda kubeba box Marekani utakuwa unaenda Hawii kila mwisho wa mwaka kupeleka familia kupumizka
 
Sio kwa nchi hii labda tusubiri 2020
 
Inachukua muda si chini ya miezi 6 kukamilisha process zote
asante na kuhusu selection mara baadaya majibu ya May zinakua mwisho ngapi kutoka maana umesema wewe umepata selection ya mwezi September
 
asante na kuhusu selection mara baadaya majibu ya May zinakua mwisho ngapi kutoka maana umesema wewe umepata selection ya mwezi September
Huwa mara nyingi ni mwezi may lakin mwezi September hutokea mara chache si kila mwaka hutokea ndo maana wanasema ni vizuri kuitunza kumbukumbu namba na kucheki Mara kwa mara mpaka mwaka husika utapoisha
 
Kama tayari una maisha yametulia endelea tu kukaa huko.
Ila kama mambo hayajakaa sawa bora ukimbie tu, tusidanganyane Marekani kazi ngumu kwa mtu ambaye hajielewi au hajasoma na hayupo competitive kabisa, ila kuna chance kubwa ya kutengeneza pesa kwa mtu aliyetulia kuliko bongo.
Market ni kubwa sana, ukifanya kitu kuna mtu wa kununua siku zote tena kwa margins kubwa balaa.
 
Nakushauri endelea na issue zako tz, yaan huku husije mpaka ujipange vizur wenzio huku Texas wanapata tabu
 
asante na kuhusu selection mara baadaya majibu ya May zinakua mwisho ngapi kutoka maana umesema wewe umepata selection ya mwezi September
Dah ns mimi nasubiri majib ya may pia hopefully itatick niendelee na process
 
Mimi sio mtu wa starehe napenda sana kupambana ktk maisha na ndo maana nips apa nilipo tatizo bongo market bacon ngumu sana ,rushwa,government policy zinachange everyday na kujuana kwingi sana ndo vitu vinatukwamisha sana katika harakati za kutafuta pesa,najua maisha ni popote lakini bongo vikwazo vingi mpaka ujuane na vigorously ndo utafanikiwa
 
Dah ns mimi nasubiri majib ya may pia hopefully itatick niendelee na process
Natumai utafanikiwa kama ulikidhi vigezo vya pic ha,tatizo wabongo hatuelekezani vitu kama ivi,wenzetu wakenya wanacheza sana Huu mchezo na wanaenda huko ,wanaigeria mpaka wafungiwa kushiriki kwasababu wamekuwa wengi sana huku marekani hata china mainland wamefungiwa kushiriki
Je umeshiriki ukiwa single au una familia??
 
Kama unajitambua na unaishu zako usieende isee,me ndugu zangu wamerud mikono mitupu isee kutwa kulaumu watu tu hapa hawana mbele wala nyuma,kazi yao kubwa ilikuwa ni kupiga picha tu kwenye majengo mara white house mara kule wasijue umri unayoyoma
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…