Tafadhali litafutwe Neno lingine, ila hili la 'GOLI LA MAMA' libadilishwe kwani linafikirisha mbali

Tafadhali litafutwe Neno lingine, ila hili la 'GOLI LA MAMA' libadilishwe kwani linafikirisha mbali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Binafsi kila nikisia tu 'GOLI LA MAMA' si tu kwamba huwa Nashtuka lakini pia huwa nawaza mbali sana kama Mwanasayansi na Mdau mkubwa wa Somo la Baiolojia na Baiolojia ya Wanadamu / Mwanadamu.

Nitashukuru sana hili likifanyiwa Kazi.
 
aluu genta wewe inabido upewo tuzo ya kufikiria mbelo zaidi uko mbele ya mudo
061B941D-307E-4691-B6D5-D470712AC474.jpeg
 
Binafsi kila nikisia tu 'GOLI LA MAMA' si tu kwamba huwa Nashtuka lakini pia huwa nawaza mbali sana kama Mwanasayansi na Mdau mkubwa wa Somo la Baiolojia na Baiolojia ya Wanadamu / Mwanadamu.

Nitashukuru sana hili likifanyiwa Kazi.
Ni bora waliite "BAO LA MAMA" kuliko hilo la sasa
 
Binafsi kila nikisia tu 'GOLI LA MAMA' si tu kwamba huwa Nashtuka lakini pia huwa nawaza mbali sana kama Mwanasayansi na Mdau mkubwa wa Somo la Baiolojia na Baiolojia ya Wanadamu / Mwanadamu.

Nitashukuru sana hili likifanyiwa Kazi.
Mama kapiga magoli matatu ya chap chap!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
 
Kifo cha mende au popo kanyea mbingu,au chuma mboga,au kwa mkwe siji tena,au mama wa kambo,au kwa mganga kuna kibuyu,ah mkonooo moja,au kachukua sheria mkononi au mtama wa adam mchomvu.........
nitakata rufaa kama nikikuona mbinguni😀
 
Binafsi kila nikisia tu 'GOLI LA MAMA' si tu kwamba huwa Nashtuka lakini pia huwa nawaza mbali sana kama Mwanasayansi na Mdau mkubwa wa Somo la Baiolojia na Baiolojia ya Wanadamu / Mwanadamu.

Nitashukuru sana hili likifanyiwa Kazi.
Mtu mzima kuwaza mambo ya kitoto ni aibu sana. Alafu ndio anajiita jiniazi kweli? Huko mavyuoni sijui mnasomea nini?
 
Back
Top Bottom