Fikiria kinyume chakeBinafsi kila nikisia tu 'GOLI LA MAMA' si tu kwamba huwa Nashtuka lakini pia huwa nawaza mbali sana kama Mwanasayansi na Mdau mkubwa wa Somo la Baiolojia na Baiolojia ya Wanadamu / Mwanadamu.
Nitashukuru sana hili likifanyiwa Kazi.
Akili ziko matakoniLiitwe BAO LA GENTA.
Hili jamaa ni zuzu haswa, huo ni utoto mtu mzima mwenye majukumu yake kwenye familia hawezi kuwaza upuuz kama wewe.Tulisomea 'Kukuweka' vizuri.
BAO LA MAMAOkay, toa pendekezo. Tuliite vipi hilo ‘goli la mama’?
Zuzu ni Yule Akukazae na si Mimi Ok?
🤣🤣aluuuu ndugo yango semgo nimekukuto na huko habari za miako mingo ndugo yangu
Ngoja nimtag.Mama anavyopenda umbea huu Uzi haumpiti aone mwitikio wa Bao lake ukoje.
🤣🤣🤣 bambo mbambulileIla huyu mwamba ana reception ya kipekee kabisa.
Hahahaha Mama Bhoke atakuwa kalala muda huu.Ngoja nimtag.
Kwani mnawaza nini mkisikia linatambuliwa kama 'Goli la Mama'? Kuna ukakasi wowote unatokea kifikra na kihisia?Okay, toa pendekezo. Tuliite vipi hilo ‘goli la mama’?
😆😆😆😆 mkuu umetafuto picho umeona unitupiu nikiwa nakunyoView attachment 2786795
Kama anakunya vile.
Kwenda huko, huelewi nini hapo?Kwani mnawaza nini mkisikia linatambuliwa kama 'Goli la Mama'? Kuna ukakasi wowote unatokea kifikra na kihisia?
Ova