Tafadhali mwenye Picha za Walinzi wa Rais Samia walivyokuwa awali na walivyo sasa anisaidize nazo

Tafadhali mwenye Picha za Walinzi wa Rais Samia walivyokuwa awali na walivyo sasa anisaidize nazo

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kuna Wawili kana sijakosea walipokabidhiwa Majukumu walikuwa kama Fidodido tu, ila naambiwa sasa wanakaribia kufanana na Mapipa ya SIMTANK.

Na mwenye Picha za waliokuwa Walinzi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli kabla hajafariki dunia mwaka Jana na walivyo sasa tafadhali aniwekee kwani nataka kufanya Critical Comparison ya wa hapa hapa daima na wale wa Ulaya Ulaya kila wakati.

Nitashukuru.
 
Nadhani msosi wa ikulu wanaupiga mwingi
Kuna Wawili kana sijakosea walipokabidhiwa Majukumu walikuwa kama Fidodido tu, ila naambiwa sasa wanakaribia kufanana na Mapipa ya SIMTANK.

Na mwenye Picha za waliokuwa Walinzi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli kabla hajafariki dunia mwaka Jana na walivyo sasa tafadhali aniwekee kwani nataka kufanya Critical Comparison ya wa hapa hapa daima na wale wa Ulaya Ulaya kila wakati.

Nitashukuru.
 
Mm naamini ili uwe kiongozi au ili uwe mtu wa aina flani ni lazima uwe kwenye cycle flani hv, hauwezi ukawa rais kutokea sehemu ambayo haieleweki hata kama ni mtu kutoka chama pinzani kuwa rais ni lazima uwe umeishi kwenye cycle iliyoandaliwa itakayokufanya uwe rais.
Hao walinzi wa viongozi wakubwa sio rahisi uwakute kwenye aina flani ya maisha kama kupiga picha n.k mana wanakuwa wameandaliwa kwa jambo fulani hata kama jambo hilo ni gumu kutokea.
Mfano wale walinzi wa Samia, sidhani kama kuna mtu alijua mwaka flani rais atakuwa mwanamke ila wale walikuwa tayari kwenye cycle ya kuwa pale na walishaandaliwa muda mrefu bila kujua ni muda gani watakuwa kwenye hiyo nafasi.
Mfano yule aliyekuwa mlinzi wa pembeni wa Magufuli, alikuwa Facebook lakini last seen yake ilikuwa ni 2012 miaka mitatu kabla ya kuwa mlinzi wa Magufuli hiyo inaonyesha labla ndipo alipoanza kuwa kwenye cycle itakayomfanya awe mlinzi wa rais.
 
Mm naamini ili uwe kiongozi au ili uwe mtu wa aina flani ni lazima uwe kwenye cycle flani hv, hauwezi ukawa rais kutokea sehemu ambayo haieleweki hata kama ni mtu kutoka chama pinzani kuwa rais ni lazima uwe umeishi kwenye cycle iliyoandaliwa itakayokufanya uwe rais.
Hao walinzi wa viongozi wakubwa sio rahisi uwakute kwenye aina flani ya maisha kama kupiga picha n.k mana wanakuwa wameandaliwa kwa jambo fulani hata kama jambo hilo ni gumu kutokea.
Mfano wale walinzi wa Samia, sidhani kama kuna mtu alijua mwaka flani rais atakuwa mwanamke ila wale walikuwa tayari kwenye cycle ya kuwa pale na walishaandaliwa muda mrefu bila kujua ni muda gani watakuwa kwenye hiyo nafasi.
Mfano yule aliyekuwa mlinzi wa pembeni wa Magufuli, alikuwa Facebook lakini last seen yake ilikuwa ni 2012 miaka mitatu kabla ya kuwa mlinzi wa Magufuli hiyo inaonyesha labla ndipo alipoanza kuwa kwenye cycle itakayomfanya awe mlinzi wa rais.
Kabisa ndugu
 
Back
Top Bottom