Tafadhali niko mbali naombeni 'Updates' za Msiba wa Mzee Nimrod Elirehema Mkono

Tafadhali niko mbali naombeni 'Updates' za Msiba wa Mzee Nimrod Elirehema Mkono

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hasa hasa nataka kujua ni lini Mwili wake unaingia kutokea huko Jijini Boston nchini Marekani alikokuwa na alikofia.

Na pia kama ukifika nataka kujua je, utapelekwa moja kwa moja Mortuary Lugalo au Kwake Masaki kwa taratibu zingine Kuendelea?

Tafadhali kama utapelekwa Kulala Mortuary ya Lugalo Hospital namuomba Afande Mugwe na Yule Mortuary Attendant Muha waniandalie kabisa nami Vifaa vyangu kwa Kazi ya Kumuandaa Mzee wangu huyu wa Kizanaki aliyefanya mengi na makubwa Kijijini Kwetu Mkoani Mara na hata Tanzania na kwa Watanzania.

Pia mkisema ni lini Mwili wake unategemea Kusafirishwa kwenda Kijijini Kwao Busegwe Wilaya ya Butiama Mkoani Mara kwa ajili ya Maziko yake GENTAMYCINE nitawashukuru mno.

Mwenye Updates zake zozote Karibu.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
 
Hasa hasa nataka kujua ni lini Mwili wake unaingia kutokea huko Jijini Boston nchini Marekani alikokuwa na alikofia.

Na pia kama ukifika nataka kujua je, utapelekwa moja kwa moja Mortuary Lugalo au Kwake Masaki kwa taratibu zingine Kuendelea...

Huyo mzee niliwahi shuhudia hapo center ya Busegwe anafukuza vijana watoke pale wakafanye kazi nikajuliza mchana huu na huku ni kijijini watafanya kazi gani?

Ila much respect to him
Kajenga shule nzuri sana
Eti awe wose olendake hilo neno hadi leo halijafutika kichwani mwangu
 
Wewe una solution gani zaidi??? Let’s see you action. Talk talk talk no action.
 
jioneshe? Wewe unahaki gani kua unapost bila source Shahida? Nonsense tupu.
 
Huyo Mzee hajazikwa tu?
Hadi tumezuka wengine rondo yeye hajaletwa kwani?
 
Hasa hasa nataka kujua ni lini Mwili wake unaingia kutokea huko Jijini Boston nchini Marekani alikokuwa na alikofia.

Na pia kama ukifika nataka kujua je, utapelekwa moja kwa moja Mortuary Lugalo au Kwake Masaki kwa taratibu zingine Kuendelea?

Tafadhali kama utapelekwa Kulala Mortuary ya Lugalo Hospital namuomba Afande Mugwe na Yule Mortuary Attendant Muha waniandalie kabisa nami Vifaa vyangu kwa Kazi ya Kumuandaa Mzee wangu huyu wa Kizanaki aliyefanya mengi na makubwa Kijijini Kwetu Mkoani Mara na hata Tanzania na kwa Watanzania.

Pia mkisema ni lini Mwili wake unategemea Kusafirishwa kwenda Kijijini Kwao Busegwe Wilaya ya Butiama Mkoani Mara kwa ajili ya Maziko yake GENTAMYCINE nitawashukuru mno.

Mwenye Updates zake zozote Karibu.

Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Mmetia aibu mkapewa za uso sasa mnajifaragua hapa. Wenye msiba wanaendelea na taratibu zinazowahusu.
 
Back
Top Bottom