Tafadhali sana piga kura yako hapa: Swali: Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi? Ndio au Hapana

Je, unaamini kuwa Yesu yuaja upesi kama alivyoahidi katika Ufunuo 22:12?


  • Total voters
    131
  • Poll closed .
Maana nimeskia huko nikuabudu tu hakuna hata kula
 
Waombe radhi kwanza kwa kuwavunjia heshima. Hawaitwi Moderates

Halafu nakushauri pia ubadili profile avatar yako iendane na yanayotoka moyoni mwako. Mungu akusaidie.
Wewe ni nyoko
 
Setfree
 
Mh, naona kama maelezo yako yamepotea njia, mkuu.
Hapa tunatafakari swali: "Je unaamini Yesu yuaja upesi kama alivyoahidi katika Ufu 22:12?"
Kama unaamini piga kura ya NDIYO. Kama huamini piga kura ya HAPANA.
SAWA
 
Unamsubiri mtu aliyekufa arudi?
Miaka 2000 imepita unasubiri nini?

Kama si ujinga ni nini? Yelelex3
 
Concept ya Messiah msingi wake ni Judaism.

Kwanini Jews walisubiri ‘Messiah’’

Kwa miaka mingi Jews kama dini ya kwanza kuamini ‘monotheistic’ ghafla wakaingiliwa na Romans ambae aliwatawanya, kuwavuruga na kuharibu sehemu zao muhimu za ibada.

Pamoja na ghasia za Roman, bado Jews awakubadili msingi wao wa imani ya ‘mungu mmoja wa mbinguni’ na yalikuwa makabila 12 (kuna variations of culture hapo).

Katikati ya shida za utawala wa Romans, Jews kitu kilichokuwa kinawapa imani ipo siku atatokea Mesiah kama ‘King David’ ambae atapambana na Romans, kuwashinda, kuwaunganisha makabila yote, kuwajengea tena Temple yao na kuwalindia ardhi yao.

Messiah atafanana vipi, Jews hawajui anaweza kuja kama king, mwanajeshi, priest, raia wa kawaida or whatever form.

Ila telling sign ya Messiah atawashinda Romans (au adui yao, yoyote wa muda huo), ataunganisha makabila ya Jews na kukomboa ardhi yao (in biblical terms).

Hizi ndio sababu Jews, hawamkubali Yesu kama messiah; kwa sababu hakufanikisha hayo malengo (mind you Jesus was Jew not, Christian).

Baada ya hapo watu kama hakina Paul the apostole wakaanzisha dini mpya ya mtindo wao kulazimisha Jesus ndio aliekuwa Messiah.

Kwa kifupi dini ya mungu mmoja wa mbinguni msingi wake ni Jews (ambao walikuwa waarabu).

Christian wąkaipokea dini hiyo hiyo kwa msingi wa Paul na kutengeneza kanuni zake.

Waarabu nao wakapokea ya Paul na kuongeza Muhammad; ikaja Islam (vurugu machi tu).

Lakini msingi halisi wa messiah na dini ya mungu wa mbinguni ni Judaism.

Sasa Mesiah wa Judaism ni nani, ni swala la ‘have a go hero’ kwa tulipo kwa sasa “Benjamin Netanyahu’ is trying his chances.

Ukishaelewa msingi wa dini, utaelewa complexity za M.E politics.
 
Sijui kama hii inatusaidia kitu zaidi ya kupotosha. Aje kufanya nini wakati mkizikwa mnaambwa ni makazi yenu ya milele? Tumia japo komonisensi mwanangu.
 
Mimi naamini kwenye spiritual world based on personal experience.

Na naamini the spiritual world doesn’t discriminate unaenda nyumba gani ya ibada provided you believe on supernatural powers.
 
Wewe ni nyoko
Proverbs 26:4-5 says:
"Answer not a fool according to his folly, lest thou also be like unto him. Answer a fool according to his folly, lest he be wise in his own conceit."

I see that proverb in action! If I answer you, I might become like you. If I don't, you might think you're right. What should I do?
 
Kama Mababu zako na mabibi zako wa mababu zako wa mabbibii zako hawajawahi kuru hadi leo sembuse huyo mhuni ndiyo arudi?

N je hao wanyama wengine kuku,bata,nyati,mbbwa,nk nani atarudi kwaajili yao??

Jitafakari Mwafrika!!
 
Tumuombe Mungu awasaidie wengi waamini, ili Yesu akija waweze kupaa
Yaani lleo yesu aliyetungwa na kuletwa na wazungu kupitia biblia kwaajili ya kukutawala Mwafrika leo aje aau arudi kukuchukua wewe na kukupeleka wapi kama siyo ujinga ni nini??
 
Kama Mababu zako na mabibi zako wa mababu zako wa mabbibii zako hawajawahi kuru hadi leo sembuse huyo mhuni ndiyo arudi?

N je hao wanyama wengine kuku,bata,nyati,mbbwa,nk nani atarudi kwaajili yao??

Jitafakari Mwafrika!!
Zaburi 53:1
Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema.
 
Yaani lleo yesu aliyetungwa na kuletwa na wazungu kupitia biblia kwaajili ya kukutawala Mwafrika leo aje aau arudi kukuchukua wewe na kukupeleka wapi kama siyo ujinga ni nini??
Zaburi 53:1
Wapumbavu hujisemea moyoni: “Hakuna Mungu!” Wote wamepotoka kabisa, wametenda mambo ya kuchukiza; hakuna hata mmoja atendaye jema.
 
Bado.
Waliokuja ni Makristo wa uongo
Mathayo 24:5
"Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi."

Bado.
Waliokuja ni Makristo wa uongo
Mathayo 24:5
"Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi."
Mathayo 16;27 Kwasababu Mwana wa Adamu atakuja katoka utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadri ya matendo yake

Mathayo 16;28 Amin nawaambieni,Pana watu katika hawa wasimamao hapa hawataonja mauti kabisa ,hata watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake

unaposoma bibiloa uwe unazingatoa nyakati na hadhira pia
shida ukianza kujiingiza humo utapotezwa
 
Hao walidanganywa na manabii wa uongo kama ambavyo na wewe shetani amekudanganya umeamini uongo wake eti Yesu hawezi kuja. Think twice
kumbe umeshajua hata kabla sijapiga kura haha aya mtakatifu.
 
Hao walidanganywa na manabii wa uongo kama ambavyo na wewe shetani amekudanganya umeamini uongo wake eti Yesu hawezi kuja. Think twice
kama kweli unasoma biblia ebu nambie jambo moja tu lililobaki kutimia ili kristo arejee?
 
Bado.
Waliokuja ni Makristo wa uongo
Mathayo 24:5
"Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi."
Marko 8:38 Maana kila mtu atakayenionea haya mimi, na maneno yangu ,katika kizazi hiki cha uzinzi na dhambi ,Mwana wa Adamu atamwonea haya mtu huyo ,atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu

Marko 9:1 Akawaambia Amini nawaambia,Pana watu katika hawa wasimamao hapa ,ambao hawataonja mauti (hawatakufa)kabisa ata watakapouona ufalme wa Mungu umekuja kwa nguvu

Sasa tujiulize hao walioambiwa hawatakufa mpaka watakapomwona Yesu anarudi bado wapo mpaka leo tangu aondoke miaka takrbani 2000 iliyopita?

tafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…