Tafadhali usicheke, Ukicheka wewe ni mtu usiye na huruma KABISA

Red Red Wine
 
HUYO HATA HADHI YA KUITWA KIBAMIA HANA. [emoji23] [emoji23]
 
Nimekuita tuburudike pamoja na huu Uzi, au nimekukwaza?

Hata haujanikwaza.. wengine kama mie tunaonaga aibu kwa mambo kama haya kuyajadili kiundani.. unajua tena mwanamke kufundwa haswaaa na kushindwa kuyaongelea kwa wengi.

Eeeeh.. ndio hivyo.. upo!?

Ngoja niwasome nami nione kama nitacheka mwenyewe.. ila kwa humu naona aibu kweli kweli kuonesha kama nacheka au sicheki..
 
Na nyie wazungu mna unyago?
 
Ngoja nimuite le kokobangaa'z aje asome huu uziii [emoji15][emoji23][emoji23][emoji12]
 
Mhh mkuu na mi nimejikagua dushe ka ndo ivyo vibamia..ila sio poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…