Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mkuu madhara kukitumia hicho kitunguu Maji ulichokikata na kikalala usiku kucha pasipo na wewe kukitumia tena mpaka siku ya pili yake ndio wewe unataka kukitumia ndipo hapo kinakuletea madhara sio kachumbari si utaiweka kwenye friji?Ina maana hiyo sumu au backteria havifi hata ukipika ?? au madhara zaidi ni kwa kukitumia kitunguu kilicholala kama kachumbari?
No research no right to speak!
Kama huamini jaribu ukiuguwa Dawa hospitalini zipo bibie graciara usipo uguwa wewe Ma-Daktari watakula wapi?hujaeleweka wala kuelezea ukaeleweka MziziMkavu funguka zaidi maana hao bacteria wangekua sumu basi ingekua balaa...
Kama ni hivo watu wengi wangekuwa washakufa
Hapo mzizimkavu umeprove failure aisee maana uliulizwa hata kikipikwa vijidudu havifi?au ni kikitumika kwa kchumbari yaani hiko kilicholala bt ukajibu off point,i think jamaa f inageuka something else i cant trust majibu wala ushauri hapa tena honest speaking modes tusaidieni plz