Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Unapotumia kitunguu maji kukikata usikibakishe ili kesho yake ukitumie tena. kile kitunguu Maji
unacho kibakisha
kinageuka Sumu na kinatengeneza wadudu wa sumu. Ukikitumia kile kitunguu Maji kilicho bakia jana yake ulicho kikata
huenda utapatwa Maradhi kwenye Utumbo wako au hata nyonga yako ikadhurika na kukusababisha ule chakula
chenye sumu tafadhali usifanye hivyo kabisa.