Ni kweli kabisa watanzania wengi tungekuwa saa hizi marehemu, wewe MziziMkavu hebu uliza kwenu hamkawahi kupikia kitunguu wacha cha jana hata cha juzi. Mimi nakumbuka kabisa kitunguu kwetu kilikuwa hakipikii mara moja mpaka na ukubwa wangu huu sijaona mtu amekufa kwa kula kitunguu cha jana au juzi, wacha tu kitunguu cha kupika tunakula hata kitunguu kibichi kwenye kachumbari. HIYO NI UONGO KABISA KWETU LABDA HUKO KWA WAZUNGU AU VYA KICHINA.
JOKE: KUNA WAKATI WACHAGA WALIKUWA HAWALI MIHOGO WANASEMA MIHOGO INASUMU. KWANI KUNA MMOJA WAO ALIWAHI KULA MUHOGO AKAFA.