TAFADHALI usilog-out JF! Dont touch that button!! BECAUSE ...

TAFADHALI usilog-out JF! Dont touch that button!! BECAUSE ...

Mshangazi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,143
Reaction score
4,462
Leo itakapofika ile mida ambayo walokuwa wanafanya mtihani wa taifa leo wanakuwa wameshafumba macho yao na tumebaki sisi tu ambao umri wetu una alama ya kujumlisha

Yaani wenye ule umri wa kuanzia miaka ile na kuendelea

Basi nitashusha uzi special kwa wote wana JF na hakika hutajutia kubaki JF hadi muda huo. Ni maandishi machache plus picha nyingi na video concrete ..!

BE PREPARED TO BE SUPRISED ..!
 
Leo itakapofika ile mida ambayo walokuwa wanafanya mtihani wa taifa leo wanakuwa wameshafumba macho yao na tumebaki sisi tu ambao umri wetu una alama ya kujumlisha

Yaani wenye ule umri wa kuanzia miaka ile na kuendelea

Basi nitashusha uzi special kwa wote wana JF na hakika hutajutia kubaki JF hadi muda huo. Ni maandishi machache plus picha nyingi na video concrete ..!

BE PREPARED TO BE SUPRISED ..!
Confusing!!
 
Leo itakapofika ile mida ambayo walokuwa wanafanya mtihani wa taifa leo wanakuwa wameshafumba macho yao na tumebaki sisi tu ambao umri wetu una alama ya kujumlisha

Yaani wenye ule umri wa kuanzia miaka ile na kuendelea

Basi nitashusha uzi special kwa wote wana JF na hakika hutajutia kubaki JF hadi muda huo. Ni maandishi machache plus picha nyingi na video concrete ..!

BE PREPARED TO BE SUPRISED ..!
Unatubania aunty, tuonjeshe hata title plzzzzz🥺🥺
 
Back
Top Bottom