Tafadhali Viongozi wa sasa kama Mmemchoka na Kumkinai Hayati Mwalimu Nyerere tuambieni tu na siyo kuanza Kumdharau kiasi hiki

Hangaya anachukiwa daah! Tukio la kuzima Mwenge lilikua linafanyika pale na je kibinadamu kwenda kuzuru kaburi nalo tatizo? Upande wa pili pia nawaza tukio la kuzima Mwenge lilipangwa kuwa kabla Mzee hajafariki ili automatically uje uzimwe kwenye mji wake wa nyumbani na yeye mwenyewe ila ndio hivyo maisha yanaendelea. I stand to be corrected.
 

Ni mburumundu tu wasioweza kuona huyu bwana alikuwa wa aina yake kwa kiasi gani.
 

Ndahani, Jumbe Brown mnakwitwa huku!
 
Upo sahihi mkuu. Wameamua kurahisha mambo bila kujua wanaharibu.
 
Labda viatu vya JKN vinawabana.
 
Shughuli za Mwenge zilipangwa kufanyika Chato sio Butiama. Wacheni nongwa.
Jana ilikuwa ni Siku Maalum ( ya Kumbukizi ya Kifo cha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ) au ni Siku ya Mwenge na Magufuli Day? Pumbavu..!!
 
Yaani shida yao wanataka kuifanya siku yenyewe kuwa irrelevant, ndo maana wengi wa vijana ambao wengine wapo chuo kikuu hawajui kuhusu Nyerere day, wanashangaa hawajui ni sikukuu ya nini...........hii ni kwa sababu yeye ni mzanziberi haoni umuhimu wa siku yenyewe. Na wakati mwingine ukute ni ushauri wa msoga gang, maana Nyerere alimpiga pini asipitishwe kipindi kileeee......
 


Laana ya Baba wa taifa ??!!, Yeye bado yupo hai ili atoe hiyo laana?? au yeye ni Mungu??!!------- usijiandikie tu bila kutafakari unachoandika.

Ila nakuunga mkono dhidi ya hao walioifanya/walioinajisi Nyerere day na kuifanya Magufuli day, ni utovu wa heshima kwa Baba wataifa.
 
Unahitaji Elimu pana kuhusu Laana ya Mtu aliye Hai au Mfu. Watafute Watu wazima wakuelimishe zaidi juu ya nadharia pana ya Laana na jinsi inavyoenda au kukupata.
 
Wamemkosea sana baba wa taifa letu.

Hii nchi haina washauri tena.

Hata kama muzimu wa mwendazake zake unawatesa msingemfanya Mwalimu hivo.

Hakika ukifa chako nacho kimekufa, wanamsahau mpigania uhuru wetu mnaenda kutuonesha kaburi la vioo vya aluminium.

Mungu ampe Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kauli dhabiti.
 
Kama wameshindwa wananchi wenyewe tupo tayari kwenda front kuazimisha siku ya mwasisi wa taifa kule butiama........waondoe maving'ora yao tutaenda wenyewe hata kwa mguu......
 
Karani ndivyo walivyo Mkuu. HAWAJIAMINI pamoja na katiba kumpa madaraka makubwa sana. Na washauri wake wote ni Wapumbavu tu.
Kila kosa lawama kwa washauri ina maana yeye hajui kuchanganua zuri na baya. Tuseme wazi tu hastahili kuwa Rais kama kila kitu hadi aambiwe nini cha kufanya.
 
Reactions: BAK
Kuna Mtu nilimpenda, ila sasa basi tena.
 
Unahitaji Elimu pana kuhusu Laana ya Mtu aliye Hai au Mfu. Watafute Watu wazima wakuelimishe zaidi juu ya nadharia pana ya Laana na jinsi inavyoenda au kukupata.


Laana haikumpata yule aliyebinafsisha mashirika ya UMMA ije imshike mtu kwa ajili ya ku Abuse siku ya kumbukizi yake??!🤣---- au laana ni kitu cha mchezo hivyo!!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…