Jamani hii kitu haina utapeli wowote wale nilioongea nao ana kwa ana wamenielewa na hawakuwa na shaka yoyote. Ila walishindwa tu uwezo wa kunisaidia. Nyote mnaokandia kama tungewasiliana nikawapa details mgeweza kuelewa. Hakuna utapeli hapa na mimi sijatapeliwa Wanaijeria hawahusiki kabisa. Labda suala la collateral hilo naona laweza kuwa ndio kikwazo lakini mchakato mzima ni wa halali kabisa. Kuhusu kulipa mara 2 kwani kuna tatizo gani? Sihitaji mkopo wa biashara bali ni kama nilivyoeleza juu. Kwa hiyo tusikokotoe kibiashara. Whoever is interested ani pm I am serious.
Me bado mkuu
Huyu mnamuonea bure jamani, yeye si tapeli ila ameingia mikononi mwa 'wapopo'. Atakuwa ameshaliwa kidogo kidogo sasa wazee wa kazi wanataka kumpiga ya ukweli, Bro achana na hiyo mambo, maisha sio mepesi hivyo, fanya kazi kwa bidii achana na hayo mambo sijui mtu alikufa ana hela nyingi bank wanatafuta mrithi, shtuka na uachane nayo
Nitakujibu kwa pm.
Nitakujibu kwa pm kesho vumilia kidogo mkuu.
Samahani,
akaunti yako ya M-PESA haina kiwango cha kutosha kutuma Tsh5,000,000 kwa ISRAEL NSIBU
Salio lako la M-PESA ni Tsh 0.00
Pole sana mkuu nilikua na nia..