Tafadhali wadau naomba mnisaidie 5m Tshs nikakomboe hazina

Tafadhali wadau naomba mnisaidie 5m Tshs nikakomboe hazina

Status
Not open for further replies.
Wadau, huyu nimemfahamu.....ni tapeli fulani hivi sasa anataka kula vichwa hapa JF. Intelijensia ya Kova isingeelekeza nguvu kuzuia maandamano halali ya Wananchi, watu kama ndio wangekuwa sehemu ya kupandishwa cheo kutokana na utendaji uliotukuka!
 
Jamani hii kitu haina utapeli wowote wale nilioongea nao ana kwa ana wamenielewa na hawakuwa na shaka yoyote. Ila walishindwa tu uwezo wa kunisaidia. Nyote mnaokandia kama tungewasiliana nikawapa details mgeweza kuelewa. Hakuna utapeli hapa na mimi sijatapeliwa Wanaijeria hawahusiki kabisa. Labda suala la collateral hilo naona laweza kuwa ndio kikwazo lakini mchakato mzima ni wa halali kabisa. Kuhusu kulipa mara 2 kwani kuna tatizo gani? Sihitaji mkopo wa biashara bali ni kama nilivyoeleza juu. Kwa hiyo tusikokotoe kibiashara. Whoever is interested ani pm I am serious.
 
Wadau, huyu nimemfahamu.....ni tapeli fulani hivi sasa anataka kula vichwa hapa JF. Intelijensia ya Kova isingeelekeza nguvu kuzuia maandamano halali ya Wananchi, watu kama ndio wangekuwa sehemu ya kupandishwa cheo kutokana na utendaji uliotukuka!

Mtazamo wako tu mimi sio tapeli na sijawahi kufanya utapeli wowote.
 
Wana JF nina jukumu moja kubwa la kuhamisha hela kutoka benki moja kule Scotland UK ili nizihamishie benki ya hapa Tz tawi moja la NBC. Ni zoezi ambalo limepitia mchakato mrefu kiasi na sasa niko katika hatua ya mwisho ili hela zitumwe. Kinachonikwamisha kufikia sasa ni kwamba natakiwa kumtuma mwanaseria wangu ambaye ameshughulikia hilo suala toka mwanzo ili akasaini documents fulani zinazohusiana na uhamshaji wa hizo hela. Yaani hayo ni masharti ya benki husika kwa mujibu wa sheria za Uingereza. Kiasi cha hela ninachohitaji kwa sasa ni sh. 5m (zingine zipo).
Naomba ieleweke kwamba hiki ni kitu halisi sio utani na documents zote ninazo nasubiri tu kukamilisha kazi iliyobaki hela zituwe. Nilikuwa ninasita kuja hapa maana watu kuamini vitu kama hivi ni ngumu sana unless mnaongea ana kwa ana. Nimejaribu kitafuta hela huku Mbeya nilipo tangu novemba 2013 lakini sijafanikiwa kukamilisha na muda unaenda tu. Kifupi mimi ni mtumishi wa serikali na sina fursa yoyote ya kuomba mkopo maana nimeishatumia kiasi cha pesa kuprocess documents za kuniwezesha kumiliki hiyo hazina.
Naomba wakuu zingatia kwamba nikipata hiyo hela ni zoezi la ndani ya wiki 2 tu ili hela zitumwe. Atakayenisaidia atalipwa hela yake 5m na ziada.ya 5m jumla milioni 10. Zaidi ya hapo tutawasiliana nijue shughuli anazofanya kuna upungufu gani ili nimpe support. Kimsingi nitamfanya awe mdau wangu na kupeana ushauri wa mambo ya kibiashara.
Najua kuwa maelezo yangu yanaacha maswali fulani ya msingi sana lakini nitafafanua kwa yeyote ambaye yuko interested kunisaidia. Kinachotakiwa ni kuni PM ili tuongee biashara au nitafute kwa namba hii 0755144512. Details nitazitoa in private tafadhali. Nawasilisha

MKuu, naomba nikuulize swali moja la msingi; HIYO PESA UNALIPWA KWA AJILI YA NINI (Umefanya biashara na mtu, ni deni unalipwa, ulikuwa mwajiriwa)?, fafanua kidogo hapo mkuu kwa jinsi ulivoiweka naona kama unataka kuibiwa au umeshaibiwa tayari! Funguka tuone kama tunaweza kupigana tafu!
 
Pole sana kwa matatizo yaliyokupata ndg yangu pesa ni kitu kingine kabisa watu sasa hivi wameshapoteza iman watu wanataka uweke kitu rehan akupe hela hapo utapata ila useme mtu akupe tu bila dhamana hapo utachemka

Nimekuelewa sana mkuu na mimi hofu yangu ipo hapo.
 
Huyo jamaa ni tapeli tu. Umkopeshe akulipe mara2 ya pesa ko dunia ya wapi hiyo

Kulipwa mara mbili wala haina maneni inategemea ni biashara gani anafanya, mashaka yangu ni kwamba yeye ndiye kalizwa, maana ramani siisomi hapa! Huyo mwanasheria wake yeye kaiogopa deal, maana angeichangamkia faster akakopa hata hiyo pesa, si anauhakika atapata twice in less than a month!
 
Huna collateral yeyote? Au ndugu akuthamini ungepewa mikopo binafsi ya dharura watu kukuamini ngumu

Nashukuru sana Mama Joe labda nijaribu namna ya kupata mkppo. Nikifanikisha hili suala nitawafahamisha.
 
Nadhani huyo kapigwa maana kwenye mitandao kuna udanganyifu sana.

Kulipwa mara mbili wala haina maneni inategemea ni biashara gani anafanya, mashaka yangu ni kwamba yeye ndiye kalizwa, maana ramani siisomi hapa! Huyo mwanasheria wake yeye kaiogopa deal, maana angeichangamkia faster akakopa hata hiyo pesa, si anauhakika atapata twice in less than a month!
 
MKuu, naomba nikuulize swali moja la msingi; HIYO PESA UNALIPWA KWA AJILI YA NINI (Umefanya biashara na mtu, ni deni unalipwa, ulikuwa mwajiriwa)?, fafanua kidogo hapo mkuu kwa jinsi ulivoiweka naona kama unataka kuibiwa au umeshaibiwa tayari! Funguka tuone kama tunaweza kupigana tafu!

Nitakujibu kwa pm.
 
MKuu, naomba nikuulize swali moja la msingi; HIYO PESA UNALIPWA KWA AJILI YA NINI (Umefanya biashara na mtu, ni deni unalipwa, ulikuwa mwajiriwa)?, fafanua kidogo hapo mkuu kwa jinsi ulivoiweka naona kama unataka kuibiwa au umeshaibiwa tayari! Funguka tuone kama tunaweza kupigana tafu!

Nitakujibu kwa pm kesho vumilia kidogo mkuu.
 
Samahani,
akaunti yako ya M-PESA haina kiwango cha kutosha kutuma Tsh5,000,000 kwa ISRAEL NSIBU
Salio lako la M-PESA ni Tsh 0.00

Pole sana mkuu nilikua na nia..
 
Kulipwa mara mbili wala haina maneni inategemea ni biashara gani anafanya, mashaka yangu ni kwamba yeye ndiye kalizwa, maana ramani siisomi hapa! Huyo mwanasheria wake yeye kaiogopa deal, maana angeichangamkia faster akakopa hata hiyo pesa, si anauhakika atapata twice in less than a month!

Sijawahi kutoa ofa ya namna hiyo kwa mwanasheria wangu. Kimsingi mwanasheria yuko upande wangu nitaku pm utaelewa tu.
 
Wana JF nina jukumu moja kubwa la kuhamisha hela kutoka benki moja kule Scotland UK ili nizihamishie benki ya hapa Tz tawi moja la NBC. Ni zoezi ambalo limepitia mchakato mrefu kiasi na sasa niko katika hatua ya mwisho ili hela zitumwe. Kinachonikwamisha kufikia sasa ni kwamba natakiwa kumtuma mwanaseria wangu ambaye ameshughulikia hilo suala toka mwanzo ili akasaini documents fulani zinazohusiana na uhamshaji wa hizo hela. Yaani hayo ni masharti ya benki husika kwa mujibu wa sheria za Uingereza. Kiasi cha hela ninachohitaji kwa sasa ni sh. 5m (zingine zipo).
Naomba ieleweke kwamba hiki ni kitu halisi sio utani na documents zote ninazo nasubiri tu kukamilisha kazi iliyobaki hela zituwe. Nilikuwa ninasita kuja hapa maana watu kuamini vitu kama hivi ni ngumu sana unless mnaongea ana kwa ana. Nimejaribu kitafuta hela huku Mbeya nilipo tangu novemba 2013 lakini sijafanikiwa kukamilisha na muda unaenda tu. Kifupi mimi ni mtumishi wa serikali na sina fursa yoyote ya kuomba mkopo maana nimeishatumia kiasi cha pesa kuprocess documents za kuniwezesha kumiliki hiyo hazina.
Naomba wakuu zingatia kwamba nikipata hiyo hela ni zoezi la ndani ya wiki 2 tu ili hela zitumwe. Atakayenisaidia atalipwa hela yake 5m na ziada.ya 5m jumla milioni 10. Zaidi ya hapo tutawasiliana nijue shughuli anazofanya kuna upungufu gani ili nimpe support. Kimsingi nitamfanya awe mdau wangu na kupeana ushauri wa mambo ya kibiashara.
Najua kuwa maelezo yangu yanaacha maswali fulani ya msingi sana lakini nitafafanua kwa yeyote ambaye yuko interested kunisaidia. Kinachotakiwa ni kuni PM ili tuongee biashara au nitafute kwa namba hii 0755144512. Details nitazitoa in private tafadhali. Nawasilisha
Kuna jamaa kule Morogoro (SUA) aliingia mkenge huu huu wa hawa matapeli, 2008. Alitakiwa alipie na alilipa Tshs million 21 kama gharama za kuhamisha pesa( dollar 3bn) kutoka benki moja kule South Africa kuja kwenye akaunti yake CRDB. Hadi leo hajapokea hela yoyote kutoka SA zaidi ya kulipa madeni (sababu pesa aliyowatumia alikopa benki) na kupata stroke. Jihadhari, chukua hatua!
 
Wana JF nina jukumu moja kubwa la kuhamisha hela kutoka benki moja kule Scotland UK ili nizihamishie benki ya hapa Tz tawi moja la NBC. Ni zoezi ambalo limepitia mchakato mrefu kiasi na sasa niko katika hatua ya mwisho ili hela zitumwe. Kinachonikwamisha kufikia sasa ni kwamba natakiwa kumtuma mwanaseria wangu ambaye ameshughulikia hilo suala toka mwanzo ili akasaini documents fulani zinazohusiana na uhamshaji wa hizo hela. Yaani hayo ni masharti ya benki husika kwa mujibu wa sheria za Uingereza. Kiasi cha hela ninachohitaji kwa sasa ni sh. 5m (zingine zipo).
Naomba ieleweke kwamba hiki ni kitu halisi sio utani na documents zote ninazo nasubiri tu kukamilisha kazi iliyobaki hela zituwe. Nilikuwa ninasita kuja hapa maana watu kuamini vitu kama hivi ni ngumu sana unless mnaongea ana kwa ana. Nimejaribu kitafuta hela huku Mbeya nilipo tangu novemba 2013 lakini sijafanikiwa kukamilisha na muda unaenda tu. Kifupi mimi ni mtumishi wa serikali na sina fursa yoyote ya kuomba mkopo maana nimeishatumia kiasi cha pesa kuprocess documents za kuniwezesha kumiliki hiyo hazina.
Naomba wakuu zingatia kwamba nikipata hiyo hela ni zoezi la ndani ya wiki 2 tu ili hela zitumwe. Atakayenisaidia atalipwa hela yake 5m na ziada.ya 5m jumla milioni 10. Zaidi ya hapo tutawasiliana nijue shughuli anazofanya kuna upungufu gani ili nimpe support. Kimsingi nitamfanya awe mdau wangu na kupeana ushauri wa mambo ya kibiashara.
Najua kuwa maelezo yangu yanaacha maswali fulani ya msingi sana lakini nitafafanua kwa yeyote ambaye yuko interested kunisaidia. Kinachotakiwa ni kuni PM ili tuongee biashara au nitafute kwa namba hii 0755144512. Details nitazitoa in private tafadhali. Nawasilisha

katika stori hii nilitegemea utasema uko kwenye kambi ya wakimbizi senegal
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom