pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Omena kwenye mkahawa si itakuwa ni majanga? Omera hiyo kitu inapikagwa na wataalamu buana. Hiyo kitu ukila na Ugali na kachumbari, kama huna uzoefu baada ya hapo kunakuwaga na uwezekano mkubwa sana kwamba utazima kiasi. Kama friji. 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeiona list nikajua nitakuta 'umeena'