Joe Gibson
New Member
- May 9, 2018
- 4
- 2
Ahahahaha wanasahau mwanaume akizaliwa Tu tayari ni graduatedsawa wakubwa.....sema tatzo mboga za humu zinataka wenye degree tu afu huwa haziwapi......
Na wanaopata niwachache hulet mrejesho[emoji22]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaha wanasahau mwanaume akizaliwa Tu tayari ni graduatedsawa wakubwa.....sema tatzo mboga za humu zinataka wenye degree tu afu huwa haziwapi......
Na wanaopata niwachache hulet mrejesho[emoji22]
PENDEKEZOHabari WanaJF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.
Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;
Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
- Na mengineyo ya muhimu.
- Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
- Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
View attachment 348427
Mim napata shida kumtafuta MTU price PMHabari WanaJF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.
Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;
Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
- Na mengineyo ya muhimu.
- Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
- Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
View attachment 348427
Kabisa mkuuWasisahau kuweka vyama vyao vya siasa.
Unaweza kukuta mtafuta mwenza ni li mtu la ccm. Hawakawìi kukusaliti watu wa ccm.
Samahani viongozi naomba kusaidiwa kufuta post niliikosea msaada plsHabari WanaJF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.
Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;
Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
- Na mengineyo ya muhimu.
- Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
- Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
View attachment 348427
Fact6: wale wanaotafutwa waache tabia ya kukimbilia PM wakijifanya kuw singo kumbe ni mke/ mme wa mtu,,,, nakufanya mtaftaji aizarau JF nzima,,,,,,,. naomba wachukuliwe hatua kali ikiwezekana watajwe majina yao hadharani ili kukomesha tabia hyo.
MmmmmhPM MAANA YAKE NI JIONI YAAN POST MERIDIAN. sasa basi akisema tukutane pm maana yake ni jioni wendeumejitayarisha kabisa kama uko serious, ivo tu basi