Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume

Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume

Tatizo uaminifu upo? Na kupenda kweli kupo sio una date end of day unatoa siri yako mtu ana kukimbia......
 
Habari WanaJF,

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.

Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.

Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;

Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
  1. Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
  2. Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  3. Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
  4. Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
- Na mengineyo ya muhimu.

View attachment 348427
PENDEKEZO
1. Mtu anayetafuta mke/mume awe serious. Kama ataleta utani na "IKATHIBITIKA" kwamba anacheza na hisia za watu apewe adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine.Hii pia itasaidia kukomesha tabia za kijinga.
 
Habari WanaJF,

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.

Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.

Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;

Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
  1. Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
  2. Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  3. Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
  4. Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
- Na mengineyo ya muhimu.

View attachment 348427
Mim napata shida kumtafuta MTU price PM
 
Wasisahau kuweka vyama vyao vya siasa.

Unaweza kukuta mtafuta mwenza ni li mtu la ccm. Hawakawìi kukusaliti watu wa ccm.
 
Habari WanaJF,

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.

Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.

Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;

Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
  1. Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
  2. Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  3. Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
  4. Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
- Na mengineyo ya muhimu.

View attachment 348427
Samahani viongozi naomba kusaidiwa kufuta post niliikosea msaada pls
 
6: wale wanaotafutwa waache tabia ya kukimbilia PM wakijifanya kuw singo kumbe ni mke/ mme wa mtu,,,, nakufanya mtaftaji aizarau JF nzima,,,,,,,. naomba wachukuliwe hatua kali ikiwezekana watajwe majina yao hadharani ili kukomesha tabia hyo.
Fact
 
PM MAANA YAKE NI JIONI YAAN POST MERIDIAN. sasa basi akisema tukutane pm maana yake ni jioni wendeumejitayarisha kabisa kama uko serious, ivo tu basi
 
Back
Top Bottom