Naombeni mniwezeshe kuchangia mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naombeni mniwezeshe kuchangia mada
Apa huenda nikapata sasa kilio kimesikika JfHabari WanaJF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.
Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.
Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;
Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:
- Na mengineyo ya muhimu.
- Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
- Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
- Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
- Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
View attachment 348427
Natafuta mwanamke ,mpenzi ,mchumba.
Mimi sifa yangu kubwa awe na hofu ya Mungu,na asiwe kibonge tafadhari.
Mimi ni mweusi,mwenye urefu wa wastani..si mrefu na wala si mfupi,mkristukwa dini
Amabae yuko tayari,tafdhari and anicheki email: benjaminson1421@gmail.com
Mwanetu tafuta uko uko uku utakunatana na mafasi ya dwasiNatafta mchumba me kuanzia 29 na kuendelea Mimi nipo mwanza
shukraniPole mkuu
kabisa nawapuuzaPole mkuu!
Wewe chukua linalokufaa mengine waachie wenyewe. Humu people zimevurugwa hatari hivyo wanataka wakuvuruge nawe muwe sawa.
Wapuuze.
NI kweli,na kebehi juuKwa wale wote ambao wanatafuta wenza, hasa kwenye nyuzi nazofungua mimi nawaomba tafadhalini sana, acheni mzaha, kama huhitaji mwenza basi tulia, acha wale wenye shida waje, wewe unanifata na kuandika maneno yasiyofaa, huo sio ustaarabu.
Ni kweliPole mkuu!
Wewe chukua linalokufaa mengine waachie wenyewe. Humu people zimevurugwa hatari hivyo wanataka wakuvuruge nawe muwe sawa.
Wapuuze.
Baada ya kuinama nini chafuata?......mtihaniVumilia tu mkuu mtaka cha uvunguni sharti ainame