TAFAKARI MPYA : Ali kiba ni mwanamziki Daimondi ni msanii

TAFAKARI MPYA : Ali kiba ni mwanamziki Daimondi ni msanii

Dressing/kutupia

1464079048_2928158096.png


ali-kiba.jpg


2016+BET+Awards+Arrivals+Ak8FKw2OUV0l.jpg


Diamond-1.jpg



b8c89a50_Kanye-West-How.jpeg
 
Kiukweli dimond ni msanii mburudishaji tu
Kiba ye ni mwanamuziki haswaa
Dimond anatoa nyimbo hazidumu wakati kiba anatoa nyimbo zinakaa sana masikioni mwa watu
AJE bado inatamba sana ukienda clubs kwenye studio televisheni lakini kidogo iliyotoka hivi karibuni ni kama imepotea bado aje inaenda sawa na waache waoane ya chege
Huwa unaenda club za wapi mkuu? Kidogo trace ipo namba 2,
Kwenye charts za bbc extra uk top 100 world wide ipo nafasi ya 30
Kwenye world music hart nigeria iko namba 2
Kwenye chart za jamaica/ carribian ipo namba 2
Kwenye chart za sweden african charts ipo namba 4

1474101352153.jpg
1474101380494.jpg
 
Vipi kuhusu lupela......na kidogo bado inakimbiza ata ukiangalia TV huwezi kuikosa sema unajitoa ufahamu iv.....tueleze kuhusu lupela ipo wapi
Wenyewe wanakwambia nyimbo za kiba zinadumu wakati LUPELA haijaishi hata mwezi mmoja hapa duniani ikazikwa
 
hivi hizi habari za kuwafananisha hao jamaa zitaisha lini?
too much aisee. leteni posts zingine
 
Ali kiba ana mzidi diamond sauti, kwa kweli hilo ni kweli
Ila sasa domo ana mzidi Kiba the rest, kama ifutavyo.
Composing/kutunga
Cariography/kupafom
Dressing/kutupia
Marketing/masoko
Management/menejiment

Communications/mawasilioano hasa matumiz ya mitandao na ku connect na washabiki

Exposure/domo kaiona dunia sehemu nyingi kuliko Kiba.

Domo kwa vitu alivo mzidi kiba ni vingi sanaa, na sio ajabu kwa kuwa hata barnaba, belle 9 na Ben pol na hata Jux wana mzidi mbali domo kwa sauti nzuri.

"Hivo Ali Kiba ni mwimbaji mzuri kuliko Domo ila siyo, msanii mzuri wala mwanamuziki(si ajabu wote si wanaamuziki wazuri pia) kuliko domo, kwa kuwa ili uwe msanii au mwana muziki mzuri kuna combined factors lazma ziwepo.

*wote wana fanya fresh lakin ndo uzuri
*haya ni mawazo yangu tuu, marekebisho yata pokelewa
Umemaliza
 
Kiukweli dimond ni msanii mburudishaji tu
Kiba ye ni mwanamuziki haswaa
Dimond anatoa nyimbo hazidumu wakati kiba anatoa nyimbo zinakaa sana masikioni mwa watu
AJE bado inatamba sana ukienda clubs kwenye studio televisheni lakini kidogo iliyotoka hivi karibuni ni kama imepotea bado aje inaenda sawa na waache waoane ya chege
Sio kwamba zikikaa masikion mwako,ukjua na jiran yako ndivyo....
Chenza liitwe chenza na chungwa liitwe chungwa...

Diamond is an international musician Alikiba will remain being a local one......

Talking too much about the either altenative ni sawa na kujitekenya mwenyewe na kisha kucheka.....
 
Kiukweli dimond ni msanii mburudishaji tu
Kiba ye ni mwanamuziki haswaa
Dimond anatoa nyimbo hazidumu wakati kiba anatoa nyimbo zinakaa sana masikioni mwa watu
AJE bado inatamba sana ukienda clubs kwenye studio televisheni lakini kidogo iliyotoka hivi karibuni ni kama imepotea bado aje inaenda sawa na waache waoane ya chege
Hivi ukisema kidogo ni kama imepotea unakuwa unatumia reference zipi? TV stations ngapi unafatilia, radio, clubs ngapi unaingia? nyimbo usipoipenda wewe haimaanishi haifanyi vizuri kwasababu we sio "the line of standards" vipi nikikuambia aje pia haifanyi vizuri kutokana na mihemko yangu tu? Okay nyimbo za kiba zipi zinaishi, mwana, lupela, na ile nyingine inaitwaje sijui speaking of nyimbo zilizotolewa after kiba kurudi kwenye game. Kindly answer my questions, utofautishe facts na mihemko.
 
Me binafsi sijawahi kumwona au kumsikia dimond akiimba na live band??anaweza kweli???
 
Huyu jamaa humu huwa anapondwa sana na inaonekana wengi hawamkubali ila kinachonishangaza thread nyingi zinaanzishwa kumhusu sijajua kwa nini..kwanini anaongelewa sana kama hawezi ..
 
Huyu jamaa humu huwa anapondwa sana na inaonekana wengi hawamkubali ila kinachonishangaza thread nyingi zinaanzishwa kumhusu sijajua kwa nini..kwanini anaongelewa sana kama hawezi ..
my friend remember that "Always Strong denial is actually an Affirmation"...
 
Ali kiba ni kama mwanafunzi mwenye mwandiko mzuriii darasani lakini hana akili.
Weny mwandko mzur wanapata marks za bure afu wali weny akil lakn mwandko km umetambaliwa na mend wanaishia kuchaniwa mitihan yao
 
Back
Top Bottom