Tafakari namna Kigwangalla alivyowadhalilisha watendaji chini yake, kunyimwa Uwaziri ni adhabu ya kumtosha?

Tafakari namna Kigwangalla alivyowadhalilisha watendaji chini yake, kunyimwa Uwaziri ni adhabu ya kumtosha?

M! Nina mashaka, mwenza wa kigwa nae pia ni daktari nadhani, ataendaje kutafuta dawa za chango KWA mganga wa kienyeji??
hujawahi sikia kuwa mganga hajigangi mzee? Huko kwa waganga wa kienyeji ukienda asilimia kubwa ya wateja wao ni maprofesa wa medicine.
 
Alimdhalilisha pia na dokta mwaka kisa...
Ile ya kumuandama Dr mwaka niliishuhudia lkn sikujua kisa mpaka leo
alipoenda Mali asili akatuhumu wanaowaua wanyama wa porini na wao wauawe, kwanini asile mweleka na L/Cruiser porini
 
Huyu jamaa siyo kijana. 45 yrs mnamuita kijana? Mimi na wasiwasi jamaa kama si early 50s basi ni mid 50s. Kwanza jina na vyeti kafoji na umri pia huenda

Ukisikia mtu anasema Kigwangalla ni kijana, basi yeye atakuwa 70+.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Umesahau pia kwamba alimla mchepuko wa mtela mwambapa ambaye alisababisha mtela kutimuliwa Kisarawe.
Huyu kijana aliwahi kufunga geti ya wizara kudhibiti wachelewaji akawadhalilisha watendaji wa afya bila kuwasikiliza walikuwa na matatizo gani makwao.

Aliwahi mdhalilisha mzee mmoja Askari tena kwenye mahafali natumai mbele ya familia yake kisa amekosa ukakamavu wa kiaskari. Amewahi kuwadhalilisha wananchi kwenye operesheni za misitu na hifadhi akiwa na kombati Kama Askari kabisa. Aliwahi mtunishia misuli Katibu Mkuu wa wizara yake.

Leo hii inabainika alikuwa anapiga piga na helkopta ya umma na kutumia mafuta ya umma huku akilipwa. Inabainika alitumia vibaya fedha za umma kulipa wasanii.

Alistahili zaidi ya kunyimwa uwaziri, alipaswa kufika Kisutu sema ndo hivyo ni mkubwa.
 
Huyu kijana aliwahi kufunga geti ya wizara kudhibiti wachelewaji akawadhalilisha watendaji wa afya bila kuwasikiliza walikuwa na matatizo gani makwao.

Aliwahi mdhalilisha mzee mmoja Askari tena kwenye mahafali natumai mbele ya familia yake kisa amekosa ukakamavu wa kiaskari. Amewahi kuwadhalilisha wananchi kwenye operesheni za misitu na hifadhi akiwa na kombati Kama Askari kabisa. Aliwahi mtunishia misuli Katibu Mkuu wa wizara yake.

Leo hii inabainika alikuwa anapiga piga na helkopta ya umma na kutumia mafuta ya umma huku akilipwa. Inabainika alitumia vibaya fedha za umma kulipa wasanii.

Alistahili zaidi ya kunyimwa uwaziri, alipaswa kufika Kisutu sema ndo hivyo ni mkubwa.
Kumbukeni lakini kuwa yeye ni Mnyamwezi, jamii moja ya watu washamba hapa Tanzania na ndiyo maana sitaki kabisa kusikia mtu ananiita mimi Mnyamwezi kisa nimeishi majuu. Nasema sitaki!
 
Umesahau pia kwamba alimla mchepuko wa mtela mwambapa ambaye alisababisha mtela kutimuliwa Kisarawe.
1607966898977.png
Huyu Queen angeolewa rasmi tu na jamaa afumbe macho, mm nataka nijitose jamani, msikose kunichangia
Lkn mnyamwezi hakunifurahisha kabisa pale alipoanza kukwaruzana na Dr Mwaka
sanamu la Baba wa Taifa
kutaka kuwateketeza wanaotaka kuwaua wanyama pori
na lile la J Makamba kuhusu, vigari vya kupanda Mlima km kule Mombo ili vipande Mlima Kilimanjaro, ule mradi ilibidi usimame kabisa na leo hatimaye nimeona Naibu Waziri wa Utalii amelifufufua kupitia BBCSwahili
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ila.mchungaji msigwa...eti mtalii mkubwa ni Steve nyenyeyere ... Na ndege ilikodiwa....
 
Alikuwa active kwenye ujinga waziri mzima kutwa kuzurura na kina tivu akeee na sheta dasheta dasheta okeee!!
Hana lamaana zaidi ya kugombana na bodi,katibu,askari nk.
Sidharau lkn sijaonaga hamisi akifanya la maana hapa duniani zaidi ya kunyoa kiduku na kujiita hans
 
Kila la heri Mkuu 🙏🏽
View attachment 1650085Huyu Queen angeolewa rasmi tu na jamaa afumbe macho, mm nataka nijitose jamani, msikose kunichangia
Lkn mnyamwezi hakunifurahisha kabisa pale alipoanza kukwaruzana na Dr Mwaka
sanamu la Baba wa Taifa
kutaka kuwateketeza wanaotaka kuwaua wanyama pori
na lile la J Makamba kuhusu, vigari vya kupanda Mlima km kule Mombo ili vipande Mlima Kilimanjaro, ule mradi ilibidi usimame kabisa na leo hatimaye nimeona Naibu Waziri wa Utalii amelifufufua kupitia BBCSwahili
 
Kila la heri Mkuu 🙏🏽
vipi wanakuja wasiojulikana, nikikuona wamekuanza ntajua safari hii haurudi nami nasepa Twitter
au ni kwa Mkuu wa wilaya? na baada ya michango msisogee, maana bado viti maalum na ..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
😂😂😂😂
vipi wanakuja wasiojulikana, nikikuona wamekuanza ntajua safari hii haurudi nami nasepa Twitter
au ni kwa Mkuu wa wilaya? na baada ya michango msisogee, maana bado viti maalum na ..
 
Huyu kijana aliwahi kufunga geti ya wizara kudhibiti wachelewaji akawadhalilisha watendaji wa afya bila kuwasikiliza walikuwa na matatizo gani makwao.

Aliwahi mdhalilisha mzee mmoja Askari tena kwenye mahafali natumai mbele ya familia yake kisa amekosa ukakamavu wa kiaskari. Amewahi kuwadhalilisha wananchi kwenye operesheni za misitu na hifadhi akiwa na kombati Kama Askari kabisa. Aliwahi mtunishia misuli Katibu Mkuu wa wizara yake.

Leo hii inabainika alikuwa anapiga piga na helkopta ya umma na kutumia mafuta ya umma huku akilipwa. Inabainika alitumia vibaya fedha za umma kulipa wasanii.

Alistahili zaidi ya kunyimwa uwaziri, alipaswa kufika Kisutu sema ndo hivyo ni mkubwa.
Apa Mimi Nina swali hivi kabla ajachaguliwa uwaziri hapo mwanzo alikuwa anafujo mtandaoni Kama tulivyokuwa tunaziona alivyokuwa waziri?[emoji848][emoji848]
 
Apa Mimi Nina swali hivi kabla ajachaguliwa uwaziri hapo mwanzo alikuwa anafujo mtandaoni Kama tulivyokuwa tunaziona alivyokuwa waziri?
emoji848.png
emoji848.png
sana tu na humu yumo, kabla ya Nzega kugombea na kukwaruzana na Mh Bashe alitokea alitokea kwa Madaktari wanafunzi wa Muhimbili, waliparuzana na Bashe kuhusu Uraia mpaka walipoligawa Jimbo la Nzega, akapata Vijijini, kaongoza mapambano mengi tu na malumbano mitandaoni sana tu huyu jamaa kuanzia udaktari mpaka dhahabu ya Nzega.
Kosa la mitandaoni sijaliona namtetea maana hata Trump kaongoza vivyo hivyo lkn matokeo ndio hayo wanakujua wengi ukianguka basi lkn usishangae akarudi kuukwaa tena uwaziri km kina Simbachawene1607973078455.png
 
Mnamaanisha huyuhuyu mpiga zoezi?
Sasa huo mzaha sio mzaha? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
IMG_20201210_105458.jpg
 
Juzi nilipishana na Kigwangala pale shoperz plaza mbezi amepungua sana na macho yake yamejaa simanzi yumkini hayupo sawa kiafya
 
Back
Top Bottom