Tafakari yetu kwa shule za msingi.

Tafakari yetu kwa shule za msingi.

Michael mbano

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2022
Posts
820
Reaction score
570
Wiki hii nilikuwa kwenye matembezi yangu mtaani mzazi fulani akiwa hoi anatoka shamba akakimbiliwa na mwanaye mtoto akamwambia mzazi,kule shule wameagiza traksut mzazi akaonekana kuzidi kuchoka mana hali ngumu ya maisha inampiga na mtoto ndiyo hivyo.Ukimuangalia mtoto kavaa yebo ametoka shule simuda.Je ikiwa hali ya wazazi wengi si nzuri kiuchumi ni sahihi serikali kuagiza watoto wawe na track?Mana ukikaguwa wanafunzi ktk shule wengi hawajakamilisha mavazi mtoto viatu husika vya shule,soksi,na sweta vyote muhimu mzazi hakukamilisha je trak?Karibu kwa ushauri
 
Ni serikali imeagiza hilo kwa shule zote au ni Mwalimu kamuagiza tu huyo dogo? Ni shule ya msingi ya bweni au ya kutwa?

Jitahidi kueleza mada kiundani ueleweke.
 
Ni serikali imeagiza hilo kwa shule zote au ni Mwalimu kamuagiza tu huyo dogo? Ni shule ya msingi ya bweni au ya kutwa?

Jitahidi kueleza mada kiundani ueleweke.
Nilipouliza nikaambiwa ni maagizo ya serikali na ni shule ya msingi day
 
ukute kuna mjanja keshaaandaa mzigo mzito wa tracksuit anasubiria tu wateja mashuleni
 
Back
Top Bottom